Godlisten Masawe
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 738
- 283
Thnx Maggid, makala nzuri.
Ahsante sana Maggid kwa uchambuzi wa maana sana. Ni matuamiani yetu kuwa mswaada utapita kwa kura nyingi za ndiyo kama ilivyo desuturi yao hao wabunge wetu. Pamoja na matarajio hayo naomba kupitia kwako niwakumbushe hawa wabunge wetu waliowengi hapo bungeni kuwa maamuzi yao katika utayarishaji wa katiba mpya yanatengeneza UZIMA au KIFO cha nchi yetu.
Kwa sababu pia bunge letu limejengwa katika imani ya uwepo wa MWENYEZI mungu, kila asubuhi wabunge umuomba Mungu awajalie BUSARA; NAMUOMBA MUNGU ASIWANYIME BUSARA HIZO SIKU WANAPOPITISHA MUSWADA HUU:
Ahsante sana Maggid kwa uchambuzi wa maana sana. Ni matuamiani yetu kuwa mswaada utapita kwa kura nyingi za ndiyo kama ilivyo desuturi yao hao wabunge wetu. Pamoja na matarajio hayo naomba kupitia kwako niwakumbushe hawa wabunge wetu waliowengi hapo bungeni kuwa maamuzi yao katika utayarishaji wa katiba mpya yanatengeneza UZIMA au KIFO cha nchi yetu.
Kwa sababu pia bunge letu limejengwa katika imani ya uwepo wa MWENYEZI mungu, kila asubuhi wabunge umuomba Mungu awajalie BUSARA; NAMUOMBA MUNGU ASIWANYIME BUSARA HIZO SIKU WANAPOPITISHA MUSWADA HUU: