Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
nijuavyo Katiba ni muongozo kwa ajili ya wananchi wote bila kujali chama cha siasa, dini kabila, nk kwa nini tunashindwa kujadiliana? Hii mivutano inatoka wapi. Kweli katiba ikiwa mbovu halafu akafanikiwa kuingia Ikulu Raisi kichaa tutaipenda?
Je ni kweli wanachama wa CCM wanaipenda katiba iliyopo? Ni kweli kwamba wanachama wote wa CCM wanafurahishwa na katiba hii???
Ni vyema JK akitambua kuwa hana muda mrefu kubakia Ikulu ila kina Rizone na watoto wao bado tunao sana, je anapenda kuwaachia nchi isiyotawalika wao na watoto wao???
Ingekuwa vyema kama wazee wetu wangekumbuka kuwa Tanzania yenye amani ni pamoja na kukubali mabadiliko ya kweli ya dunia ya leo.
Je ni kweli wanachama wa CCM wanaipenda katiba iliyopo? Ni kweli kwamba wanachama wote wa CCM wanafurahishwa na katiba hii???
Ni vyema JK akitambua kuwa hana muda mrefu kubakia Ikulu ila kina Rizone na watoto wao bado tunao sana, je anapenda kuwaachia nchi isiyotawalika wao na watoto wao???
Ingekuwa vyema kama wazee wetu wangekumbuka kuwa Tanzania yenye amani ni pamoja na kukubali mabadiliko ya kweli ya dunia ya leo.