Katiba ni yetu wote kwanini itugombanishe???

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
nijuavyo Katiba ni muongozo kwa ajili ya wananchi wote bila kujali chama cha siasa, dini kabila, nk kwa nini tunashindwa kujadiliana? Hii mivutano inatoka wapi. Kweli katiba ikiwa mbovu halafu akafanikiwa kuingia Ikulu Raisi kichaa tutaipenda?

Je ni kweli wanachama wa CCM wanaipenda katiba iliyopo? Ni kweli kwamba wanachama wote wa CCM wanafurahishwa na katiba hii???
Ni vyema JK akitambua kuwa hana muda mrefu kubakia Ikulu ila kina Rizone na watoto wao bado tunao sana, je anapenda kuwaachia nchi isiyotawalika wao na watoto wao???

Ingekuwa vyema kama wazee wetu wangekumbuka kuwa Tanzania yenye amani ni pamoja na kukubali mabadiliko ya kweli ya dunia ya leo.
 
nijuavyo Katiba ni muongozo kwa ajili ya wananchi wote bila kujali chama cha siasa, dini kabila, nk kwa nini tunashindwa kujadiliana? Hii mivutano inatoka wapi. Kweli katiba ikiwa mbovu halafu akafanikiwa kuingia Ikulu Raisi kichaa tutaipenda?

Je ni kweli wanachama wa CCM wanaipenda katiba iliyopo? Ni kweli kwamba wanachama wote wa CCM wanafurahishwa na katiba hii???
Ni vyema JK akitambua kuwa hana muda mrefu kubakia Ikulu ila kina Rizone na watoto wao bado tunao sana, je anapenda kuwaachia nchi isiyotawalika wao na watoto wao???

Ingekuwa vyema kama wazee wetu wangekumbuka kuwa Tanzania yenye amani ni pamoja na kukubali mabadiliko ya kweli ya dunia ya leo.

Muongozo toka kwa nani?
 
Muongozo toka kwa nani?

Katiba ni muongozo wa kisheria katika maisha ya kila siku. Inatakiwa itengenezwe na wananchi husika kutoka na mazingira ya nchi , tamaduni, uchumi nk. tujadiliane wote tunataka nini
 
Katiba ni muongozo wa kisheria katika maisha ya kila siku. Inatakiwa itengenezwe na wananchi husika kutoka na mazingira ya nchi , tamaduni, uchumi nk. tujadiliane wote tunataka nini

Hapo sasa tupo pamoja, ngoja nikajipange kwanza nitarudi baadaye kuchangia...
 
Back
Top Bottom