Katiba mpya yawaliza Wakenya, kila mtu analia kuanzia Raisi mpaka raia!!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Raisi Uhuru Kenya wa Kenya akilalamika kwamba Rushwa imezidi na kusambaa kila mahali analaumiwa na kila mtu kwamba anapaswa awashughulikie lkn na yeye cha ajabu analia pia na kulalamikia Mahakama sijui Mwanasheria Mkuu mara Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu na blah blah!


Raisi Uhuru Kenya naye akilia kwamba Rushwa imemshinda kuiondoa/kuipunguza!
 
Mada nzuri sana ya mambo ya rushwa ambayo tungeweza kuijadili vizuri bila hisia za kisiasa ila sasa umeichafua kwa kuchanganya siasa
 
Mada nzuri sana ya mambo ya rushwa ambayo tungeweza kuijadili vizuri bila hisia za kisiada ila sasa umeichafua kwa kuchanganya siasa


Unaweza kubadilisha na kuboresha siwezi kuandika nje ya hapo!
 
Raisi Uhuru Kenya wa Kenya akilalamika kwamba Rushwa imezidi na kusambaa kila mahali analaumiwa na kila mtu kwamba anapaswa awashughulikie lkn na yeye cha ajabu analia pia na kulalamikia Mahakama sijui Mwanasheria Mkuu mara Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu na blah blah!

Huu ndiyo ujinga chadema/ukawa walitaka kutuletea hapa TZ yetu? Kuwa na Raisi asiye na meno wala madaraka yoyote, anakaa analialia Ikulu badala ya kuchukuwa hatua?

Nasema Raisi Magufuli Katiba yetu usiiguse, anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, hatutaki kuishi kwenye nchi ambayo Raisi naye analia sasa nani atatue matatizo?

Hapa TZ kwetu ni Amri tu Raisi wa JMTZ akisema ni Sheria na Amri haipingwi popote na hiyo ndiyo nchi ninayoitaka!
Maendeleo chap chap!



Raisi Uhuru Kenya naye akilia kwamba Rushwa imemshinda kuiondoa/kuipunguza!


Sijui umekula maharage ya wapi wewe,ona unatutapikia sasa.
 
Umeanza VIZURI
Umekosea hapo unavyomshauri ETI magufuli asibadili katiba hapo tu umenikanganya
 
Raisi Uhuru Kenya wa Kenya akilalamika kwamba Rushwa imezidi na kusambaa kila mahali analaumiwa na kila mtu kwamba anapaswa awashughulikie lkn na yeye cha ajabu analia pia na kulalamikia Mahakama sijui Mwanasheria Mkuu mara Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu na blah blah!

Huu ndiyo ujinga chadema/ukawa walitaka kutuletea hapa TZ yetu? Kuwa na Raisi asiye na meno wala madaraka yoyote, anakaa analialia Ikulu badala ya kuchukuwa hatua?

Nasema Raisi Magufuli Katiba yetu usiiguse, anayetaka Katiba mpya ahamie Kenya, hatutaki kuishi kwenye nchi ambayo Raisi naye analia sasa nani atatue matatizo?

Hapa TZ kwetu ni Amri tu Raisi wa JMTZ akisema ni Sheria na Amri haipingwi popote na hiyo ndiyo nchi ninayoitaka!
Maendeleo chap chap!



Raisi Uhuru Kenya naye akilia kwamba Rushwa imemshinda kuiondoa/kuipunguza!


Nani kakwambia katiba mpya inaleta ufisadi?

Nani kakwambia katiba ya zamani inapambana na ufisadi?

Zingekuwa katiba za zamani zinapambana na ufisadi, Leo IPTL ingejuwa inalipwa milion 400 kila jua likizama......?

Mnatia kinyaa bwana nendeni shule basi muongeze elimu kiasi......
 
Nani kakwambia katiba mpya inaleta ufisadi?

Nani kakwambia katiba ya zamani inapambana na ufisadi?

Zingekuwa katiba za zamani zinapambana na ufisadi, Leo IPTL ingejuwa inalipwa milion 400 kila jua likizama......?

Mnatia kinyaa bwana nendeni shule basi muongeze elimu kiasi......


Umemsikiliza kwanza Raisi Uhuru Kenya alichokisema? Msikilize kwanza kama ukipenda ndiyo urudi kwa maana ndiyo Maudhui ya mada yote, hivyo kama haujamsikiliza Mada inapoteza maana kwa maana tutakuwa tunajadili nje ya kile alichokiongea!
 
Umemsikiliza kwanza Raisi Uhuru Kenya alichokisema? Msikilize kwanza kama ukipenda ndiyo urudi kwa maana ndiyo Maudhui ya mada yote, hivyo kama haujamsikiliza Mada inapoteza maana kwa maana tutakuwa tunajadili nje ya kile alichokiongea!
Nimemsikia sana lakini hiyo sio sababu ya wewe kuongeza mambo yako hapo ni kweli unaweza tengeneza katiba mbovu ....

Lakini unaweza baki na ya zamani iliyo mbovu zaidi
 
heli wao wanaogopa katiba kuliko Tanzania tumasigina katiba.nani mjanja wa maendeleo natumaini ni kenya.


swissme
 
Raisi Uhuru Kenya wa Kenya akilalamika kwamba Rushwa imezidi na kusambaa kila mahali analaumiwa na kila mtu kwamba anapaswa awashughulikie lkn na yeye cha ajabu analia pia na kulalamikia Mahakama sijui Mwanasheria Mkuu mara Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu na blah blah!


Raisi Uhuru Kenya naye akilia kwamba Rushwa imemshinda kuiondoa/kuipunguza!

Hapa naona 1% imetumika 99% watakujazitumia vitukuu
 
Ndugu Uhuru Kenyatta yuko smart na ana busara na hekima kama kiongozi, nimependa sana hotuba yake. Kuhusu katiba, katiba nzuri ni ile ambayo wananchi wameshiriki kuiandaa na kuipitisha. Hata kama ina mapungufu, hicho ndicho wakenya walikitaka na ni chao. Pia hapa tumeona mapungufu ya katiba ya Kenya, lakin hatujaona mazuri yake. Hivyo si haki kuihukumu katiba yao kwa kuangalia upande mmoja tu.
 
Hiyo ni danganya toto, usikute hata yeye Uhuru ananufaika na hii rushwa. Haiwezekani wewe ni rais wa nchi unashindwa kuendesha nchi yako then your subordinates ndiyo wanakutawala, umekuwa Kikwete?
 
Back
Top Bottom