kuja hapa pia ni sawa sawa na kupata msimamo wa mtu. we nenda kaulize kwanza.Nataka mawazo/msimamo wako siyo ya mtu
Ma
Umetembelewa na mamako anakaa siku kadhaa hivi kwako. Anataka kodi ya meza aachiwe yeye apange cha kumunua...ni sawa su si sawa?
umemaliza kila kitu. mada ifungweKuna mapenz na upendo
Jukumu la mama ni kukuzaa,kukulea na kukupa malezi bora ili uwe baba bora baadae
Upendo wa mama kwa mtoto mara nying haupungui ila upendo wa mwanaune kwa mkewe unaweza kupungua ila mapenz yakaendelea kuwepo..
Huwez mpenda mama yako kuliko mke wako
Utajidanganya nafsi tu bure na utakua unajilisha upepo..
Mume bora anatengenezwa na mama na baba,na hvyo hvyo mke bora anatengenezwa na familia yake
Mke wako ni namba moja wako,
Msaidizi wako
Mshauri wako
Msiri wako
Mzaz mwenzako
Mla vingi vyako
Mtesi wako
Mfurahia vyako
Mfurahiwa wako
Unataka kujua unampenda nani?
Mwanaume mwngine akitembea na mama yako itakuuma kdgo
Mwanaume mwingine akimtongoza tu mke wako naimani jibu unalo moyoni mwako.
ThtsY,mke ndio anashikilia uhusiano wote wa maisha halisi ya mwanaume...na sio mama.
Swali zuri sana, Wowa kwanza ndio utajua hujui,Oa kwanza
Hahahahahhaah!ama kweli we ni kichwa kichafuWatoto 50%
Mama. 35%
Mke. 10%
Mchepuko. 5%
Mama ni Mke wa Baba
Mke wako ni Mama wa watoto wako.
Mama atabaki Mama.
Mke atabaki Mke.
Ukiegemea upande mmoja utakua na maisha magumu.
Yapasa wote uwakumbatie kwa usawa.
Mkuu kwema?🤔🤔🤔🤔
Kutoka 20:12 Waheshimu baba yako na mama yako
Waefeso 5:25 Enyi waume wapendeni wake zenu
Mwisho wa kunukuu in Mwanri's voice