GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,116
Ukiwasikiliza wote ni wazuri katika Utani, Kushushua, Kupiga madogo, Kutoa maneno ya Shombo na Kuchekesha kwa vituko vyao pindi wanapokuwa wanazungumza mbele ya hadhira / umma lakini inakuwa ni ngumu sana kusema kati yao nani yupo juu ya mwenzake.
Je Wewe bila kuweka ' Ukada ' wako na ' Mahaba ' yako ya Kichama / Kisiasa unadhani ni nani kati ya Livingstone Lusinde wa CCM na Tambwe Hiza wa CHADEMA anaongoza kwa kupiga ' madongo ' ya maana, yanayosisimua na kufurahisha hadi kuvunjika mbavu?
Karibuni mtiririke na mserereke tafadhali.
Nawasilisha.
Je Wewe bila kuweka ' Ukada ' wako na ' Mahaba ' yako ya Kichama / Kisiasa unadhani ni nani kati ya Livingstone Lusinde wa CCM na Tambwe Hiza wa CHADEMA anaongoza kwa kupiga ' madongo ' ya maana, yanayosisimua na kufurahisha hadi kuvunjika mbavu?
Karibuni mtiririke na mserereke tafadhali.
Nawasilisha.