Kati ya hii miji, upi ni mzuri kwa mtoko?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,489
40,507
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.

Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.

Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
 
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.

Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.

Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
😂😂😂😂Kwani Yesu ashafufuka.
 
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.

Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.

Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
Tafuta na matako makubwa beneath
 
Dodoma sio sehemu ya kwenda kula bata bora mwz
IMG-20230405-WA0032.jpg
 
Back
Top Bottom