Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,489
- 40,507
Wakuu mambo vipi?
Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.
Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.
Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.
Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.
Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.