Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,551
Baada ya Salam. Ndugu zetu Watanzania wenzetu kwanza tunaomba Dua zenu.
Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kuna mtu anauwawa kwa kuchomwa na visu.
Kunakikundi kinaitwa "DAMU CHAFU" hiki ni kikundi cha mauaji hatari sana.
Leo kupitia Azam TV nimeona taarifa ya kuuliwa Askari wa zimamoto na uokoaji.
Sasa mauaji yamefika mpaka kwa Askari.
Huku Katavi ukichelewa kurudi nyumbani basi kesho utaokotwa maiti.
Kwa hali ilivyo ni kama wauaji hawazuiliki.
Tunaomba Mh. Rais utuletee Mkuu wa mkoa ambaye ni mwanajeshi angalau labda ataweza kutuokoa.
Mh. Rais tunaomba fuatilia utuokoe
Huku Katavi Kuna mauaji sana mpaka inatisha. Karibia Kila wiki kuna mtu anauwawa kwa kuchomwa na visu.
Kunakikundi kinaitwa "DAMU CHAFU" hiki ni kikundi cha mauaji hatari sana.
Leo kupitia Azam TV nimeona taarifa ya kuuliwa Askari wa zimamoto na uokoaji.
Sasa mauaji yamefika mpaka kwa Askari.
Huku Katavi ukichelewa kurudi nyumbani basi kesho utaokotwa maiti.
Kwa hali ilivyo ni kama wauaji hawazuiliki.
Tunaomba Mh. Rais utuletee Mkuu wa mkoa ambaye ni mwanajeshi angalau labda ataweza kutuokoa.
Mh. Rais tunaomba fuatilia utuokoe