johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
- Thread starter
- #21
Virungu tu na fimbo bwashee
Virungu tu na fimbo bwashee
Hivi hivi virungu vinavyouzwa na wamasai na wamakonde?Virungu tu na fimbo bwashee
Hivyo hivyo mwagito kama munduHivi hivi virungu vinavyouzwa na wamasai na wamakonde?
Hapo mnapigwaaa.. Watafute hata gobore la jadi liongezee ulinziHivyo hivyo mwagito kama mundu
WakHapo mnapigwaaa.. Watafute hata gobore la jadi liongezee ulinzi
Wakizidiwa wanapiga filimbiHapo mnapigwaaa.. Watafute hata gobore la jadi liongezee ulinzi
Halafu wewe ndiyo unatoka na baretta yako?Wak
Wakizidiwa wanapiga filimbi
Nchi ngumu bwasheeHalafu wewe ndiyo unatoka na baretta yako?
Kwa siku Sh 500/= Sasa unalalamika hela kidogo hivyo unalindwa uhai wako na mali zako kwa hela kidogo hivyo? Watanzania nani katutupia pepo wa kulalamilikia kila kitu? Sh.500 hata soda haiwezi kununua lakini unabugia mabia mangapi kwa siku? Nakubaliana na wewe kuhusu monitoring ya hayo makusanyo iwe kwa matumizi ya EFD au njia nyingine mwafakaNimepata barua ya mchango wa Ulinzi Shirikishi tsh 15000 bila kujali nyumbani kwako una Mlinzi ama la
Ni vema basi Wajumbe wavawiwe EFD kwa ajili ya kumbukumbu nzuri ya Mapato na Matumizi maana hii nchi Wajanja Wajanja ni Wengi
We ndiyo huna akili kabisa tafuta hata za kuazima. Unajua idadi ya polisi nchi nzima? Kawaambie viongozi wako mimi polisi watanilinda usichangie. Tumia vizuri akili. Ila ukivamiwa na panya road pambana nao usimlalamikie mtuHii ndiyo maana halisi ya kula kwa urefu wa kamba.
Vyombo vya ulinzi kazi yake nini? Polisi wanalipwa mishahara kwa kazi ipi!
Tozo lukuki bado ulizi liwe jukumu la raia? Kweli Nchi sasa haitawaliki kwani hii tabia ya ulinzi wa mchongo itaenea Nchi nzima.
Kama hamtaki acheni, unadhani kuna Polisi wakuwepo kila mahala?Nimepata barua ya mchango wa Ulinzi Shirikishi tsh 15000 bila kujali nyumbani kwako una Mlinzi ama la
Ni vema basi Wajumbe wavawiwe EFD kwa ajili ya kumbukumbu nzuri ya Mapato na Matumizi maana hii nchi Wajanja Wajanja ni Wengi
Wapi nilipolalamika manka?Kwa siku Sh 500/= Sasa unalalamika hela kidogo hivyo unalindwa uhai wako na mali zako kwa hela kidogo hivyo? Watanzania nani katutupia pepo wa kulalamilikia kila kitu? Sh.500 hata soda haiwezi kununua lakini unabugia mabia mangapi kwa siku? Nakubaliana na wewe kuhusu monitoring ya hayo makusanyo iwe kwa matumizi ya EFD au njia nyingine mwafaka
Panyaroad Wana maeneo yao bwasheeKama hamtaki acheni, unadhani kuna Polisi wakuwepo kila mahala?
By the way uwiano wa watu na Polisi ni mdogo..
Acheni msitoe mtaona moto wa panyaroad.
Acha uongo, kila kaya ni tsh elfu mbili, na wenye maduka elfu tano kwa mwezi nnavyojua ,kwa maeneo mengiNimepata barua ya mchango wa Ulinzi Shirikishi tsh 15000 bila kujali nyumbani kwako una Mlinzi ama la
Ni vema basi Wajumbe wavawiwe EFD kwa ajili ya kumbukumbu nzuri ya Mapato na Matumizi maana hii nchi Wajanja Wajanja ni Wengi
Usifananishe kwenu Tandale na Kata ya KunduchiAcha uongo, kila kaya ni tsh elfu mbili, na wenye maduka elfu tano kwa mwezi nnavyojua ,kwa maeneo mengi
Ahaha,sawa mkuu,karibu kwa mtogoleUsifananishe kwenu Tandale na Kata ya Kunduchi
Kata ya Kunduchi ni kubwa sana mkuu imeanzia Tegeta kuja mashimoni wanapolipua mawe kushuka hadi baharini yote ni Kunduchi hiyo.Usalama upo au?
Je kuna uwizi wowote unaotokea
Alafu ungetuambia kata hiyo kunduchi
Ipi hiyo kama kunduchi ushuwani bei
Hiyo sawa tu,kama kunduchi uswaz lazima bei iwe chini
Ova