video yenu haiwezi kuaminikaHii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.
video haiaminikiHii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.
no need of CDM again in this country!
Chadema mbona mnahangaika sana na Video ya Lwakatare! Tumeiona tume ielewa!
video yenu haiaminikivideo haiaminiki
video haiaminikiHii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.
Hii video itawatesa sana naona mnajaribu kufanya cover up lakini ukweli huu wa vitendo vya utesaji ambao umekua ukifanywa na kitengo cha ulinzi na usalama ndani ya chadema utaishi muda mrefu sana.
nashangaa sijui kwa nini watu humu wanajigeuza mashitaka wao,watetezi wao,mashahidi wao,mahakama wao na mbaya zaidi hukumu wantoa hao hao!!jamaa amekamatwa,atajieleza na vyombo vya dola vitapima utetezi wake wakiona kuna ulazima wa kumfikisha mahakamani basi na tuiachie ifanye kazi yake!!!
Angalia misemo yao:
'nchi itasimama kwa mgomo na maandamano' --- Mwenyekiti --- Mbowe
'nchi haitatawalika' -- Katibu Mkuu --- DR Slaa
Haya yote mnafanya CHADEMA kwa faida ya nani kama kweli nia yenu ni ukomboz
NI KWA ustawi wa maisha ya Watanzania wanaoteseka na uongozi mbovu wa maCCM
nashangaa sijui kwa nini watu humu wanajigeuza mashitaka wao,watetezi wao,mashahidi wao,mahakama wao na mbaya zaidi hukumu wantoa hao hao!!jamaa amekamatwa,atajieleza na vyombo vya dola vitapima utetezi wake wakiona kuna ulazima wa kumfikisha mahakamani basi na tuiachie ifanye kazi yake!!!
Ni kweli mkuu aliye-record amechemka. Kwa mtu asiyefikiri vizuri ndo ataamini upuuzi huu. Kama kweli ni Great thinker utang'amua video ilivyo na makosa mengi ya kiufundi na kudhihirisha kuwa ni uwongo.
Ni vyema waandaaji wakajipanga kwa zile part wanazosema eti watazileta.
Mungu ni mwema sana na siku zote huwaumbua watu wenye nia mbaya. Hizi ni siasa za maji taka ambazo hazina tija na upepo utawapitia tu hata kama watatengeneza video mia moja na zaidi. Propaganda hizi ni za kitoto.
CCM na serikali yake wanapoteza muda badala ya kufikiri watawasaidiaje watanzania kuondokana na umaskini. Ni vigumu kuwadanganya na kuwaaminisha watanzania kwa video hii.
CHADEMA mtihani huu mtaushinda tu, mungu yuko nanyi na atawatia nguvu kuendelea na harakati za ukombozi.