mtupori2010
Member
- Sep 13, 2010
- 22
- 8
Naomba kuuliza, mwenye taarifa anijuze. Kuna wakati fulani tanzania ilitaka kuuza meno ya tembo yaliyokuwa yamehifadhiwa kwenye maghala yake. Ilkaleta mzozo kimataifa na hazikuuzwa. Kenya wao wakachoma moto pembe walizokuwa nazo!!! Kwa idadi ya tembo wanaodaiwa kuuawa ukihesabu meno yaliyokamatwa si wangekuwa wamekwisha? Inanitia shaka kuwa zile pembe zilizokuwa zimehifadhiwa ndizo wajanja wanazichukua na kusafirisha hasa ukizingatia picha tunazoonyeshwa ni za meno ya zamani. Je serikali imekagua maghala yake kuona kama bado zipo? Nakumbuka ilikuwa enzi ya Mh Maige.Tusije tukawa tunauwa wawinda swala tu kumbe meno yanatoka kwenye stoo za serikali.