Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,110
- 18,328
- Thread starter
- #21
Hakuna connection yoyote na alicho kua anakiongea.. sema tuu anataka kulaghai wananchi kwamba hii ndio reli ya Tanzania anayo isema.
Ingependeza zaidi ameitumia picha hiyo kwa muktadha gani? Je alisema hii ndiyo SGR ya Tanzania au alikuwa anasema nini? Bila kujua hilo twaweza kumuonea baba wa watu bahati mbaya hilo silioni kwenye maelezo yako mkuu.