Karibu kinaumana huku. Jirani kamdanganya mke wake kuwa anafanya kazi TPA kumbe jamaa hana kazi

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,716
36,188
Nyie kuna watu waongo aisee.

Binti mrembo kajua kaolewa na mwasibu wa TPA kumbe jamaa ni day worker tu huko TPA. Ni kuli ambaye zikipatikana kazi makuli wenzake wanamshitua.

Kuna wakati kazi za ukuli zikichanganya jamaa home haonekani kabisa.

Sasa hivi zimekata. Binti mjamzito pesa imekwisha.

Binti muda mwingine ana hamu na kitu jamaa anazuga anafuata dukani anarudi na giza kisha kumwambia hiyo soda dukani imekwisha.

Hii ndoa naizoom tu , muda wowote italipuka.

Dada anamuuliza mzee baba mbona huendi job, jamaa anamwambia nimeomba ruhusa nakuuguza wewe. Hivi mjamzito bongo anauguzwa?

Tawajuza mwisho wa picha.

Binti mzuri kinoma
 
Nyie kuna watu waongo aisee.

Binti mrembo kajua kaolewa na mwasibu wa TPA kumbe jamaa ni day worker tu huko TPA. Ni kuli ambaye zikipatikana kazi makuli wenzake wanamshitua.

Kuna wakati kazi za ukuli zikichanganya jamaa home haonekani kabisa.

Sasa hivi zimekata. Binti mjamzito pesa imekwisha.

Binti muda mwingine ana hamu na kitu jamaa anazuga anafuata dukani anarudi na giza kisha kumwambia hiyo soda dukani imekwisha.

Hii ndoa naizoom tu , muda wowote italipuka.

Dada anamuuliza mbona huendi job, jamaa anamwambia nimeomba ruhusa nakuuguza wewe. Hivi mjamzito bongo anauguzwa?

Tawajuza mwisho wa picha.

Binti mzuri kinoma
Jinsia yako pls tuanzie hapo kwanza.
 
Nyie kuna watu waongo aisee.

Binti mrembo kajua kaolewa na mwasibu wa TPA kumbe jamaa ni day worker tu huko TPA. Ni kuli ambaye zikipatikana kazi makuli wenzake wanamshitua.

Kuna wakati kazi za ukuli zikichanganya jamaa home haonekani kabisa.

Sasa hivi zimekata. Binti mjamzito pesa imekwisha.

Binti muda mwingine ana hamu na kitu jamaa anazuga anafuata dukani anarudi na giza kisha kumwambia hiyo soda dukani imekwisha.

Hii ndoa naizoom tu , muda wowote italipuka.

Dada anamuuliza mbona huendi job, jamaa anamwambia nimeomba ruhusa nakuuguza wewe. Hivi mjamzito bongo anauguzwa?

Tawajuza mwisho wa picha.

Binti mzuri kinoma
😂😂😂 Mwamba anauguza mjamzito.
 
Yani amuache kisa jamaa kuli??au anajitolea/
Sasa akiumwa?akipata ajali ?au tatzo la afya c atamkimbia ndo mama hamuolew nyie.
Mkaoge maji ya mwamposa na sabuni hadi na water guard kama tabia ni pesa, hatuwaoi na mm nilitaka kuoa nitajifanya cna hata mia
 
Nyie kuna watu waongo aisee.

Binti mrembo kajua kaolewa na mwasibu wa TPA kumbe jamaa ni day worker tu huko TPA. Ni kuli ambaye zikipatikana kazi makuli wenzake wanamshitua.

Kuna wakati kazi za ukuli zikichanganya jamaa home haonekani kabisa.

Sasa hivi zimekata. Binti mjamzito pesa imekwisha.

Binti muda mwingine ana hamu na kitu jamaa anazuga anafuata dukani anarudi na giza kisha kumwambia hiyo soda dukani imekwisha.

Hii ndoa naizoom tu , muda wowote italipuka.

Dada anamuuliza mbona huendi job, jamaa anamwambia nimeomba ruhusa nakuuguza wewe. Hivi mjamzito bongo anauguzwa?

Tawajuza mwisho wa picha.

Binti mzuri kinoma
Sasa wewe yanakuhusu nini?.Bila shaka wewe Utakuwa mvulana wa Dar.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom