Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,678
- 22,267
Hata wakati wa Nyerere hayakutokea haya, ila kinachotokea sasa ni viongozi kutuogopa wananchi.Aisee hayo mambo ya miaka ile ya zidumu fikra za Mwenyekiti.
Hata wakati wa Nyerere hayakutokea haya, ila kinachotokea sasa ni viongozi kutuogopa wananchi.Aisee hayo mambo ya miaka ile ya zidumu fikra za Mwenyekiti.
Nimekupa like kwa maandishi haya ndugu Gladiator4440 , "Huyu haui watu hovyo? Unajua wangapi wanakufa kwa ubovu wa huduma za afya? Unajua umasikini na uchumi mbovu miundombinu mibovu inaua watu kiasi gani?".Huyu haui watu hovyo? Unajua wangapi wanakufa kwa ubovu wa huduma za afya? Unajua umasikini na uchumi mbovu miundombinu mibovu inaua watu kiasi gani? Tena Bora yule ameokoa wengi mno!
Duh Tz tuna safari ndefu sana.Hata kama wewe ndiyo rais wa nchi, Sidhani kama ungekubali wewe kama rais uwe mahali halafu watu waendelee na shughuli zao wakati unafanya kwa ajili yao.
Kwani ukifunga kwa hayo masaa atakayokuwepo hapo unapungukiwa nini?
Huwezi kuwa maskini kwa kufunga biashara siku moja, vile vile hata ungefungua duka lako huwezi kuwa tajiri kwa hayo masaa machache.
Sent using Jamii Forums mobile app
KapaishaSi hua mnaimba anaupiga mwingi
acha ukoloni broHata kama wewe ndiyo rais wa nchi, Sidhani kama ungekubali wewe kama rais uwe mahali halafu watu waendelee na shughuli zao wakati unafanya kwa ajili yao.
Kwani ukifunga kwa hayo masaa atakayokuwepo hapo unapungukiwa nini?
Huwezi kuwa maskini kwa kufunga biashara siku moja, vile vile hata ungefungua duka lako huwezi kuwa tajiri kwa hayo masaa machache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna cha ukoloni wala ni nini, Hiyo ndio hali halisi, yaan mwataka mfungue Biashara zenu wakati Mkuu wa nchi yupo jirani hapo.hali ya Usalama inaangaziwaje katika hali kama hio, lazima mfunge biashara zenu ili Usalama uimarishwe.acha ukoloni bro
Dah poleniKatika hali ya kushangaza leo kutoka Kamata kona mpaka makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi hakuna kufungua maduka mpaka Rais Samia amalize shughuli zake Shule ya Benjamani William Mkapa.
Rais Samia mpaka naandika hapa bado hajafika hapo Shuleni inamaana basi ampaka amalize shughuli zake aondoke ndipo maduka yatafunguliwa.
#Kaziiendelee
Tii mamlaka acha kiburiKatika hali ya kushangaza leo kutoka Kamata kona mpaka makutano ya barabara ya Uhuru na Msimbazi hakuna kufungua maduka mpaka Rais Samia amalize shughuli zake Shule ya Benjamani William Mkapa.
Rais Samia mpaka naandika hapa bado hajafika hapo Shuleni inamaana basi ampaka amalize shughuli zake aondoke ndipo maduka yatafunguliwa.
#Kaziiendelee
NakaziaAnaupiga mwingi.
Bora aliyepita alifanya juhudi.Huyu yuko busy na Birthday kwanzaKwa hiyo Miundombinu mibovu kosa ni la nani? Huyu aliyepo au waliopita?
Pumbavu.Huyu haui watu hovyo? Unajua wangapi wanakufa kwa ubovu wa huduma za afya? Unajua umasikini na uchumi mbovu miundombinu mibovu inaua watu kiasi gani? Tena Bora yule ameokoa wengi mno!
Huko ni kumtaftia mtu makosa tu. Kuna vitu kweli anazingua ila ulichoandika hapa ni utumbo tu.Huyu haui watu hovyo? Unajua wangapi wanakufa kwa ubovu wa huduma za afya? Unajua umasikini na uchumi mbovu miundombinu mibovu inaua watu kiasi gani? Tena Bora yule ameokoa wengi mno!
You deserve a Trophy for the Most Stupid Comment of all time...Hata kama wewe ndiyo rais wa nchi, Sidhani kama ungekubali wewe kama rais uwe mahali halafu watu waendelee na shughuli zao wakati unafanya kwa ajili yao.
Kwani ukifunga kwa hayo masaa atakayokuwepo hapo unapungukiwa nini?
Huwezi kuwa maskini kwa kufunga biashara siku moja, vile vile hata ungefungua duka lako huwezi kuwa tajiri kwa hayo masaa machache.
Sent using Jamii Forums mobile app