Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Je ni kweli kuwa mwanaume anayelamba sehemu za siri za mwenzi wake ana hatari kubwa ya kupata cancer ya koo? Kama ni kweli kuna namna yeyote mtu anaweza kucheki kama ameshaanza kupata hiyo athari na namna ya kupunguza makali yake?