Kansa ya koo

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Je ni kweli kuwa mwanaume anayelamba sehemu za siri za mwenzi wake ana hatari kubwa ya kupata cancer ya koo? Kama ni kweli kuna namna yeyote mtu anaweza kucheki kama ameshaanza kupata hiyo athari na namna ya kupunguza makali yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom