bishankara
Senior Member
- Feb 21, 2012
- 140
- 8
Ee Mungu tusaidie tusiwe na moyo wa kulipiza kisasi.
Wakristo tunahitaji vita ya msalaba sasa!! basi imetosha!!
Ipo siku tutachoka kuvumilia huu upuuzi!Ee Mungu tusaidie tusiwe na moyo wa kulipiza kisasi.
kazi ipo ndugu zanguni.Wana-JF, kwa mujibu wa Radio Wapo, ni kwamba kuna Kanisa limechomwa huko Zanzibar alfajiri ya leo.
Moto ulizimwa, na hakuna majeruhi,ila eneo la Madhabahu liliungua
#
breaking news ya asubuhi ya leo kanisa la shalom ministry mkoa wa kusini unguja limechomwa moto na watu wasiojulikana.Hakuna majeruhi wala vifo,hakuna aliyekwisha kamatwa upelelezi unaendelea.
source:ITV breaking news/radio one and capital tv,imedhibitishwa na kamanda wa polisi zanzibar,Augustino Ulomi.
Ni vibya kutumia neno la uwongo lakini hapa nalazimika kumwita mtoa habari ni muongo na yaelekea hana nia njema na zanzibar na huenda antaka kugombanisha watu wa dini tofauti badala ya kusuluhisha.naomba anambie pahala gani sasa hivi mimi niko unguja takwenda kuchukua Picha.Wana-JF, kwa mujibu wa Radio Wapo, ni kwamba kuna Kanisa limechomwa huko Zanzibar alfajiri ya leo.
Moto ulizimwa, na hakuna majeruhi,ila eneo la Madhabahu liliungua
#
tunaelekea shimoni mkuu.Duh! hii ni kali ya mwaka!
Kuna mtu alichangia kwa kusema tusiwahusishe Waislamu na tukio la kifo cha Paroko, na hapa anatuambiaje? kama kweli taarifa hizi zitakuwa za kweli basi tunafungua ukurasa mpya wa ugaidi Zanzibar!
Kweli Mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
Naona aibu kuendelea kujisifu kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani maana majanga yamezidi, Elimu Janga la kitafa, Vitu feki Tanzania ni janga la Kitaifa, Wanasiasa ni porojo na kutoka mapovu tu hawana solution ya matatizo zaidi ya kuongozwa na matukio na kujali masllahi yao nao wamekuwa ni majanga ya kitaifa, Huduma za kijamii ni janga la kitaifa watu wanajipandishia bei za vitu watakavyo, hakuna wa kukemea yote ni majanga ya kitaifa. Udini nao siusemei maana tuendako wale waliooana waksto na waislamu sijui nani atamkataa mwenzie maana hakuna famili ambayo haijachanganyika! Adui yetu ni nani hatumjui?:help:
Kilimo kwanza nalo ni janga la kitaifa mikoa mbalimbali inazidi kukumbwa na njaa, migogoro ya wakulima na wafugaji linazidi kuwa janga la kitaifa kila kukicha, Imani za kishirikina nalo ni janga la kitaifa, Sasa tena janga la kuchinja (inachekesha sio kwa furaha bali huzuni), Uhalifu ndo usiseme. Kila nikitazama naona Mambo yote ni ubatili mtupu. Kweli siku za mwisho upendo wa wengi utapoa.