kanisa la kwanza lilianzishwa mwaka gani?

Status
Not open for further replies.
kuuliza sio ujinga ni kutaka kujua.

na yule anayejifanya anajua kumbe hajui ndio mjinga.

na kama wewe utasomeshwa bila ya kuuliza au kuwaza ukweli na uongo basi utapotoka na utazidi kupotoka.

kwani wengi walipotoka kuambiwa hivi na wao wakasema sawa ni hivi.

sasa kama mutakasirika kwa swali langu au hamujui basi naomba mukaniulizie? huko munapokujua.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom