OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Kila jambo na nyakati zake, huuitaji kuwa professor kulijua hili by the way kwa nini jana mlimpiga Warioba baada ya kupewa ela na Membe na Sitanimesikia na kusoma katika vyombo vya habari edward lowassa akihutubia katika maadhimisho ya miaka 50 ya jimbo katoliki la morogoro akiliomba kanisa katoliki radhi kutokana na matusi yaliyoelekezwa kwa maaskofu wa cct wakiwemo wa kanisa hilo na mwenyekiti wa lililokuwa bunge maaalumu la katiba aliyewaita maaskfu hao mashetani. ninavyojua mimi mtu akikosa ni lazima kwanza aone uchungu na chukizo kwa kosa lakie kisha yeye mwenyewe aamue kuomba radhi/msamaha ili asamehewe. sijaelewa ni nini hasa kimemsukuma lowassa kujitwika zigo la kutubia na kuomba msamaha kwa ajili ya dha,bi na udhalilishaji mkubwa aliofanya samwel sita(hasimu wake wa kisiasa) ilihali sitta mwenyewe ameridhika kwa kile alichowatamkia maskofu.hivi kama lowassa aliguswa na matusi yale kwanini hakuyakemea kipindi kilekile kama alivyokemea tatizo la ajira kwa vijana?
nawasilisha.