nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
hahahaa hii thread ina mambomie nasubiri niione speed ya huyu waziri,time will tell kwa kweli,Magufuli alianza na makeke ya kufa mtu...huwezi kudhania angekuja kuiba trillion 1.5
hahahaa hii thread ina mambomie nasubiri niione speed ya huyu waziri,time will tell kwa kweli,Magufuli alianza na makeke ya kufa mtu...huwezi kudhania angekuja kuiba trillion 1.5
tumia kiswahili: misulupwete!kashindwa kumfanya chochote siro
akavae mioversize yake
du, kiswahili bwana!ni Wa Mzee karume! baba yake na karume, kwahio huyo binti ni mjukuu Wa karume mwenyewe!!!!!
Ni ajabu kweli kweli viongozi wenye dhamana katika nchi hii yaani wamepotea watu kama Ben Saanane, Azori na yule Diwani wa kule Kigoma na Lissu kupigwa malisasi mengi hakuna maagizo ya maana yaliyotoka kumwelekea IGP, leo hii yanatolewa maagizo makubwa na kufanywa ndio habari kuu kwa kiongozi kwa kupotea Mbwa tu. Kweli tutembee kifua mbele kwa haya yanayotokea.sasa hapo lugola anachobisha ni nini? kwani hakuamuagiza IGP?
mibwangatumia kiswahili: misulupwete!
Waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola amempa onyo kali wakili na rais wa TLS kuwa atamshughulikia baada ya wakili huyo kumkosoa kwenye suala la kumuagiza IGP akamatafutie mbwa aliyepotelea bandarini
Kangi Lugola ingawa hakumtaja kwa jina amesema mtoto huyo wa aliyekuwa rais wa Zanzibar aanafanya uychochezi na ni bora akakaa kimya kwani hatawavumilia watu wa aina yake
View attachment 814588
Yaani ningekuwa Lugola huyu binti ningemuweka ndani japo masaa 24, ili akome kabisa kuleta ushambeka wa ki CD CD
Akili za kunguru mwizi hizi.Yaani ningekuwa Lugola huyu binti ningemuweka ndani japo masaa 24, ili akome kabisa kuleta ushambeka wa ki CD CD
Omunyu gwabha mwafu mukurura!Hombo Dikwela Munyu (Mlenda Umekolea Chumvi)
Mnhh....!!mie nasubiri niione speed ya huyu waziri,time will tell kwa kweli,Magufuli alianza na makeke ya kufa mtu...huwezi kudhania angekuja kuiba trillion 1.5
Mjukuu wa sheikh abeid karume(rais wa kwanza)Hivi huyu huwa ni mtoto wa Abeid Karume(mzee) au Amani Karume(mtoto) naombeni mnifafanulie wadau
Namkubali sana huyu mama!!
Waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola amempa onyo kali wakili na rais wa TLS kuwa atamshughulikia baada ya wakili huyo kumkosoa kwenye suala la kumuagiza IGP akamatafutie mbwa aliyepotelea bandarini
Kangi Lugola ingawa hakumtaja kwa jina amesema mtoto huyo wa aliyekuwa rais wa Zanzibar aanafanya uychochezi na ni bora akakaa kimya kwani hatawavumilia watu wa aina yake
View attachment 814588
Wazungu wanaita "imbecile"Babu yangu alishawahi niambia jitu jinga hata ukiliangalia kisogoni tu linavyotembea unagundua hili jinga!
Okay asante sana kiongoziMjukuu wa sheikh abeid karume(rais wa kwanza)
Mtoto wa amani(rais wa awamu ya sita).
Kwa kifupi ni mjuuku wa rais na mtoto wa rais pia