Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,406
- 3,363
Pakistan ilishambulia maeneo saba mashariki mwa Iran na kusababisha kifo cha kanali wa IRGC na uharibu mwingine. Kwa hapa namuunga mkono Pakistan kushambulia Iran kwa sababu Iran hakutaka diplomasia badala yake alitumia nguvu kushambulia ardhi ya Pakistan.
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19
Source:
View: https://twitter.com/MarioNawfal/status/1747832880884072802?t=XSOnUi4rscmMxU2leqIvIA&s=19