Kampuni ya Tanzanite one yanena

Minja mdogo

New Member
Sep 14, 2017
2
4
Tanzanite One inasema leseni ya kuchimba Tanzanite, Graphite na Marble kwenye kitalu cha ukubwa wa 8 sq km ilitolewa Mwaka 2000 kwa kutumia Sheria ya Madini ya Mwaka 1998. Serikali ilipobadilisha Sheria hiyo na kuwa na Sheria ya Madini ya Mwaka 2010, Kifungu cha 116 na Kanuni za Sheria hiyo vinalinda uwekezaji wake wote kwenye eneo hilo la Merelani.
 
Nikikumbuka maisha ya mji wetu pendwa kabla ya hao jamaa kuja huwa natamani kulia.
 
Tanzanite One inasema leseni ya kuchimba Tanzanite, Graphite na Marble kwenye kitalu cha ukubwa wa 8SQ KM ilitolewa Mwaka 2000 kwa kutumia Sheria ya Madini ya Mwaka 1998.

Serikali ilipobadilisha Sheria hiyo na kuwa na Sheria ya Madini ya Mwaka 2010, Kifungu cha 116 na Kanuni za Sheria hiyo vinalinda uwekezaji wake wote kwenye eneo hilo la Merelani.
Jifunze kuandika vizuri the weka na link
 
JPM jumatano yuko Mererani
Hao wawekezaji watasema tu ukweli
Tanzanite inazalishwa TZ lakini Nchi hainufaiki
Kuanza moja si ujinga
Acha jeuri wewe..kwahiyo unafurahia effects zitakazo wakuta ndugu na jamaa zetu endapo mgodi ukifungwa..wakose kazi na kuanza kuhangaika mtaani na familia zao..
 
Tanzanite One inasema leseni ya kuchimba Tanzanite, Graphite na Marble kwenye kitalu cha ukubwa wa 8 sq km ilitolewa Mwaka 2000 kwa kutumia Sheria ya Madini ya Mwaka 1998. Serikali ilipobadilisha Sheria hiyo na kuwa na Sheria ya Madini ya Mwaka 2010, Kifungu cha 116 na Kanuni za Sheria hiyo vinalinda uwekezaji wake wote kwenye eneo hilo la Merelani.
Hii kampuni si niliwahi kusikia niya mfanyabiashara Reginald Mengi?
 
Unalia nini sasa wakati unawashabikia hao CCM waliowapora eneo na kuwapa wawekezaji wazungu?
Sio kwamba wanashabikia ccm eti wamependa, ukitathmini kwa kina hakuna m badala wake,butajikuta kwa kila chama cha uinzani kuna mtu mmoja au wawili wanaojitambua na wenye dhamira ya kweli, wengine wooote ni vituko tuu


Hakuna chama hata kimoja cha upinzani ambacho watu wanazielewa sera zake, unakuta baadhi ya vyama wanahitaji dhana furani kutoka serikalini huku dhana hizo ndani ya vyama vyao hazipo, hapo mtu unaangalia unasema utafanyeje sasa??

Chukulia tuu mfano vituko vya vyama.
CUF_ chaka kikongwe lakiini kina mambo ya hovyo.
CHADENA_Watu waliwekeza maononyao ndani ya hiki chama lakini tuseme tu ukweli chama kimepoteza dira, nadiriki kusema ukimtoa Lissu mwingine ni nani?? Watu hawaoni harakati zozote za chama hiki baada Padri, dr. Slaaa. Na sasa chama kimepoteza dira kila mtu amebaki anajitafutia yeye nwenyewe mtaji wa kisiasa, ILE TIMU kama chama hamna tena,

ACT, Kilipoanza watu waliweka matumaini iwa kuwa kimezaliwa ndani ya vyama vingi vyenye changamoto, hivyo walitarajia sana kiwe na mabadiliko makubwa mnoo hasa kwa kutatua changamoto zilizopo nsani ya upinzani. Matokeo yake tumeyaona, kila siku kujipendekeza ndani ya ccm, mpaka kufikia hatua kinaitwa ni tawi la ccm.

NCCR, Kwabza ndio kama kimeshasahaurika vile kama hiki chama kipo na sijui akina mbatia wanampango gani.
.CHAUMA. Mungu wangu, sema tu ni haki yao kikatiba vinginevyo nadhani ilibidi tu kiwe saccos.

N.k


Kwa hiyo mtu akikitathmini chama kama chamaa anaona bora tuu awe ccm,


HAKUNA CHAMA KINACHOSUMAKA KAMA CHAMA NDIO MAANA WATU WAMEKISA M BADALA WAKE
 
Back
Top Bottom