Kwahiyo wewe unaona ni heri watu 400 wanaolipwa ujira wa uji kwa miaka waendelee kupata uji kwa ku trade future yao na vizazi vyao? Wewe bila shaka ni mjukuu wa MangungoKuna uhusiano mkubwa kati ya ujinga, roho mbaya na uchawi!
CCM mkisikia watu 400 wanaondolewa kazini mnafurahiiiii