mwana siasa
Senior Member
- Aug 28, 2007
- 119
- 6
Wasalaam wandugu,
Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu. Leo nilikuwa naperuzi mada moja inayohusu BP kufunguliwa mashitaka na EWURA. Lakini nilipoona habari hiyo kukawa na jina la GRK Advocates kama mawakili wa EWURA.
Sasa nikaamua kuiperuza hiyo website ya hiyo advocate katika upande wa partners nikaona picha ya Ridhi 1 na picha za mawakili wengine watatu.
My opinion.
Ni kwamba hatujajua mchakato mzima wa kampuni hii kuwa mawakili wa EWURA lakini pia tukumbuke sakata la DOWANS lililopelekea TANESCO kuingia gharama kubwa kwa kuichukua kampuni ya Rex na still kesi tukashindwa.
Ukipenda peruzi grkadvocates.org
Natumaini mnaendelea vyema na ujenzi wa taifa letu. Leo nilikuwa naperuzi mada moja inayohusu BP kufunguliwa mashitaka na EWURA. Lakini nilipoona habari hiyo kukawa na jina la GRK Advocates kama mawakili wa EWURA.
Sasa nikaamua kuiperuza hiyo website ya hiyo advocate katika upande wa partners nikaona picha ya Ridhi 1 na picha za mawakili wengine watatu.
My opinion.
Ni kwamba hatujajua mchakato mzima wa kampuni hii kuwa mawakili wa EWURA lakini pia tukumbuke sakata la DOWANS lililopelekea TANESCO kuingia gharama kubwa kwa kuichukua kampuni ya Rex na still kesi tukashindwa.
Ukipenda peruzi grkadvocates.org