CHADEMA wamemaliza kampeni za ubunge jimbo la Nyamagana leo jioni katika eneo la mkolani.Mabere marando alikuwepo kumsaidia Wenje Dibogo wa CHADEMA!Umati mkubwa umejitokeza siku ya leo kuwasikiliza wana CHADEMA.Kwa umati uliokuwepo leo kwenye mikutano ya awali pale Igoma na Mbugani ni dhahiri CHADEMA wameshachukua jimbo hili.
CCM nao walikuwepo umbali wa mita kama mita 800 kutoka walipokuwa CHADEMA.Maskini CCM walikuwepo wanachama wao wachaache pamoja na watoto.
NYAMAGANA CHADEMA wanasubiri tu mbunge wao aapishwe
CCM nao walikuwepo umbali wa mita kama mita 800 kutoka walipokuwa CHADEMA.Maskini CCM walikuwepo wanachama wao wachaache pamoja na watoto.
NYAMAGANA CHADEMA wanasubiri tu mbunge wao aapishwe