Elections 2010 KAMPENI ZA JK KYELA 31 August 2010

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Leo JK Kikwete alikuwa wilaya ya Kyela kumalizia kampeni zake mkoani Mbeya.
Jana Ridhiwani alitangulia ili kuweka mazingira sawa na alipewa sharti la kuhakikisha mkuu wa mkoa asihudhurie huo mkutano au hata kama atahudhuria basi asiongee.
Mteja mfalme JK alitii hayo na kwa kweli RC alihudhuria na kubaki kama sanamu.Wanakyela walipanga kuondoka uwanjani kama RC angepewa nafasi ya kuongea.
Huwezi amini mapokezi aliyoyapata JK mpaka aliingia dimbani kucheza.
Mafanikio ya ziara hiyo uko Kyela wa kupongezwa ni Dr Mwakyembe ambaye alipita uku na kule kuwasihi wananchi wasije tibua kampeni kwa kinyakyusa alikuwa akisema”ngubhasuma bha tata”
Kwa kushirikia na Mwandosya jazba za wanakyela ilishuka na JK alihutubia kwa amani na kuahidi mambo kedekede ikiwemo kuweka rami barabara ya matema.
Pole Mwandosya kwa kuhangaika mkoa mzima kumnadi JK na Mwakyembe kwa kumnadi JK kyela na kuepuka jazba ya wanakyela.
Kuna TETESI kuwa Chunya alizomewa mwenye news atuhabarishe
 
Leo JK Kikwete alikuwa wilaya ya Kyela kumalizia kampeni zake mkoani Mbeya.
Jana Ridhiwani alitangulia ili kuweka mazingira sawa na alipewa sharti la kuhakikisha mkuu wa mkoa asihudhurie huo mkutano au hata kama atahudhuria basi asiongee.
Mteja mfalme JK alitii hayo na kwa kweli RC alihudhuria na kubaki kama sanamu.Wanakyela walipanga kuondoka uwanjani kama RC angepewa nafasi ya kuongea.
Huwezi amini mapokezi aliyoyapata JK mpaka aliingia dimbani kucheza.
Mafanikio ya ziara hiyo uko Kyela wa kupongezwa ni Dr Mwakyembe ambaye alipita uku na kule kuwasihi wananchi wasije tibua kampeni kwa kinyakyusa alikuwa akisema"ngubhasuma bha tata"
Kwa kushirikia na Mwandosya jazba za wanakyela ilishuka na JK alihutubia kwa amani na kuahidi mambo kedekede ikiwemo kuweka rami barabara ya matema.
Pole Mwandosya kwa kuhangaika mkoa mzima kumnadi JK na Mwakyembe kwa kumnadi JK kyela na kuepuka jazba ya wanakyela.
Kuna TETESI kuwa Chunya alizomewa mwenye news atuhabarishe


Habari kama hizi kiongozi tuwekee na vipicha ili sisi wengine tumwone Jakaya Kaishiwa akicheza

ngubhasuma bha tata!
 
hivi Ridhiwani ni nani kichama na kiserikali?, kaazi hipo mwaka huu
 
Hapo ndipo ccm wanapokuacha mdomo wazi.kumbe mwandosya na mwakyembe wizi mtupu.
 
Leo JK Kikwete alikuwa wilaya ya Kyela kumalizia kampeni zake mkoani Mbeya.
Jana Ridhiwani alitangulia ili kuweka mazingira sawa na alipewa sharti la kuhakikisha mkuu wa mkoa asihudhurie huo mkutano au hata kama atahudhuria basi asiongee.
Mteja mfalme JK alitii hayo na kwa kweli RC alihudhuria na kubaki kama sanamu.Wanakyela walipanga kuondoka uwanjani kama RC angepewa nafasi ya kuongea.
Huwezi amini mapokezi aliyoyapata JK mpaka aliingia dimbani kucheza.
Mafanikio ya ziara hiyo uko Kyela wa kupongezwa ni Dr Mwakyembe ambaye alipita uku na kule kuwasihi wananchi wasije tibua kampeni kwa kinyakyusa alikuwa akisema"ngubhasuma bha tata"
Kwa kushirikia na Mwandosya jazba za wanakyela ilishuka na JK alihutubia kwa amani na kuahidi mambo kedekede ikiwemo kuweka rami barabara ya matema.
Pole Mwandosya kwa kuhangaika mkoa mzima kumnadi JK na Mwakyembe kwa kumnadi JK kyela na kuepuka jazba ya wanakyela.
Kuna TETESI kuwa Chunya alizomewa mwenye news atuhabarishe

Njowepo,

Asante kwa taarifa ya ziara ya JK. Ila kwa wakuu wa wilaya na mkoa kote huwa hawapewi nafasi ya kuongea kwasababu ni wafanyakazi wa serikali pia na chama kinaogopa kuonekana kinawatumia kwenye uchaguzi.
 
hivi Ridhiwani ni nani kichama na kiserikali?, kaazi hipo mwaka huu

Hivi wewe hujajua kuwa urais wa tanzania kupitia sisiem ni suala la kifamilia?
kama hujui chunguza Mama anna mkapa kama bado anapeta, tafuta mama salma yuko wapi na anafanya nini, nenda nkwenye kumbukumbu zako uangalie waziri wako wa ulinzi husein mwinyi alikuwa mbunge wa wapi 2000 2005 na sasa yuko wapi! hapo utajua ccm ni kitu gani na Ridhwani ni nani
 
Kuna maeneo RC huwa anasimama kuwakaribisha wageni iwe upinzani au CCM bse ndo anakuwa mwenyeji wako,several time Kyela keshawai simama na kuongea.
Mbali na ahadi ya Lami kwenda Matema beach pia kaahidi kivuko na meli kwa Lake Nyasa alafu akaishia kusema kuna watu wanataka nisiahidi watu wakacheka nadhani alikuwa anarefer CHADEMA.
Ndo maana ata pale Jangwani Gama alikuwepo siku ya ufunguzi wa CHADEMA ila wakaogopa tuu kumwambia salimia watu bse vurugu zingezuka
 
Kuna maeneo RC huwa anasimama kuwakaribisha wageni iwe upinzani au CCM bse ndo anakuwa mwenyeji wako,several time Kyela keshawai simama na kuongea.
Mbali na ahadi ya Lami kwenda Matema beach pia kaahidi kivuko na meli kwa Lake Nyasa alafu akaishia kusema kuna watu wanataka nisiahidi watu wakacheka nadhani alikuwa anarefer CHADEMA.
Ndo maana ata pale Jangwani Gama alikuwepo siku ya ufunguzi wa CHADEMA ila wakaogopa tuu kumwambia salimia watu bse vurugu zingezuka
Njowepo,

Katika ziara yote hii ya kampeni za uchaguzi, JK hasimamishi wakuu wa wilaya wala wakuu wa mikoa. Hiyo ndio ilikuwa hoja yangu.

Anasimamisha wagombea/waliogombea ubunge na udiwani. Wakuu wa wilaya na mikoa wanakuwepo ila huwa hawasemi kitu. Inasemekana ukiwatumia wakuu wa wilaya na mikoa ni kama unawaingiza wafanyakazi wa serikali kwenye kampeni.
 
Back
Top Bottom