Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Leo JK Kikwete alikuwa wilaya ya Kyela kumalizia kampeni zake mkoani Mbeya.
Jana Ridhiwani alitangulia ili kuweka mazingira sawa na alipewa sharti la kuhakikisha mkuu wa mkoa asihudhurie huo mkutano au hata kama atahudhuria basi asiongee.
Mteja mfalme JK alitii hayo na kwa kweli RC alihudhuria na kubaki kama sanamu.Wanakyela walipanga kuondoka uwanjani kama RC angepewa nafasi ya kuongea.
Huwezi amini mapokezi aliyoyapata JK mpaka aliingia dimbani kucheza.
Mafanikio ya ziara hiyo uko Kyela wa kupongezwa ni Dr Mwakyembe ambaye alipita uku na kule kuwasihi wananchi wasije tibua kampeni kwa kinyakyusa alikuwa akisemangubhasuma bha tata
Kwa kushirikia na Mwandosya jazba za wanakyela ilishuka na JK alihutubia kwa amani na kuahidi mambo kedekede ikiwemo kuweka rami barabara ya matema.
Pole Mwandosya kwa kuhangaika mkoa mzima kumnadi JK na Mwakyembe kwa kumnadi JK kyela na kuepuka jazba ya wanakyela.
Kuna TETESI kuwa Chunya alizomewa mwenye news atuhabarishe
Jana Ridhiwani alitangulia ili kuweka mazingira sawa na alipewa sharti la kuhakikisha mkuu wa mkoa asihudhurie huo mkutano au hata kama atahudhuria basi asiongee.
Mteja mfalme JK alitii hayo na kwa kweli RC alihudhuria na kubaki kama sanamu.Wanakyela walipanga kuondoka uwanjani kama RC angepewa nafasi ya kuongea.
Huwezi amini mapokezi aliyoyapata JK mpaka aliingia dimbani kucheza.
Mafanikio ya ziara hiyo uko Kyela wa kupongezwa ni Dr Mwakyembe ambaye alipita uku na kule kuwasihi wananchi wasije tibua kampeni kwa kinyakyusa alikuwa akisemangubhasuma bha tata
Kwa kushirikia na Mwandosya jazba za wanakyela ilishuka na JK alihutubia kwa amani na kuahidi mambo kedekede ikiwemo kuweka rami barabara ya matema.
Pole Mwandosya kwa kuhangaika mkoa mzima kumnadi JK na Mwakyembe kwa kumnadi JK kyela na kuepuka jazba ya wanakyela.
Kuna TETESI kuwa Chunya alizomewa mwenye news atuhabarishe