KAMPENI YA kitaifa ya OKOA MAISHA SOMALIA yazinduliwa na JK. Hali ikoje hapa nchini?

Our country is in big mess, hatuhitaji kuanza kufanya juhudi kwa ajili ya nchi nyingine wakati sisi wenyewe tuko hoi. Nchi nyingine zinafanya hivyo kutokana na sababu za kisiasa, na kutafuta ujiko, si kweli kama wana interest na wel being ya wasomali. If that was the case, wasomali wangekuwa better than they are now. Wana ndugu zao wengi wanaowaunga mkono na wenye kufanana kiitikadi, kiimani na kitabia, na wana pesa nyingi zaidi kuliko Tanzania. <br />
<br />
Kidogo kilichopo T


Jamanì kwa hili JK bnajiandalia pa kukimbilia hali ikimgeukia so tuwe macho
 
Lets tuwasaidie manake ni janga la dunia. Ila hawa wasomali waache vita yao ya kijinga washughulikie maendeleo ya nchi
 
Wasomsli siyo watu wazuri, ukijaribu kuwasaidia watakugeuka siyo muda mrefu, angalia walivyo na ubaguzi kama waarabu. angalia wlipatiwa nafasi Kenya sasa hivi wakenya Eastleigh wanajuta sana. hiki ni kizazi cha kupunguza tu duniani. elewa watoto ndio haohao wanaokuja kuwa watu wazima. Maharamia na Al-shabab.

Sema tu binadamu tunaitilafu ya kusahau kama isingekuwa hivyo hakuna mtu ambaye angehangaika na wasomali labda ndugu zao alqaida/taliban. Hawa wasomali kwenye miaka ya 90 mataifa ya dunia yaliitikia wito wa kuwasaidia walipokufa njaa kama wanavyokufa hivi leo. walipewa chakula dezo (jizya) kulingana na desturi zao, waliposhiba na kurejesha nguvu waliwageuka wale waliowaokoa, kuwaua na kuburuza miili yao mitaani. Jamani kama kuna ushenzi, uovu na ushetani hapa duniani hakika makao makuu yake yako somalia, wasomali ni binadamu wenzetu lakini ubinadamu wao wanaujua wenyewe na huyo mungu wao.
 
Mimi ninaposikia tu mtangazaji wa television anataja somalia huwa nabadili channel kwa sababu machozi hunitoka ninapowaangalia watoto wanateseka kwa njaa, mtu usiambiwe ebu jaribu kujionea kwenye tv na ndipo utaona kwamba njaa iliyopo nchini ni cha mtoto, mi nilikuwa naona waweke account maalumu kwa ajili jamii nzima iweze kuchangia kwz sababu nahisi watu wengi wameguswa
 
Jikite zaidi kwenye lagha yako ya<font color="#000000"><b> Kichagga </b></font>hii lugha ingine kwako ni janga la kitaifa kama HIV, Shule za kata at work..teh teh teh teh
<br />
<br />
sio LAGHA ni Lugha
usikimbilie kutoa boriti kwny jicho la nduguyo kabla ya kutoa kibanzi ktk jicho lako
 
Back
Top Bottom