Habari wadau.leo nimemsikiliza kama wa dar hakika sijamuelelewa na kama tungekuwa na uongozi makini alipaswa kutenguliwa mala moja. Sijuhi elimu yake lakini ni aibuuu ni bora asingejitokeza kuongea kwenye Clouds redio ya watu.
Watu wamepotea jamaa analeta siasa kama vile hayamhusu na ndugu watajijua.Ata kama waliopotea ni wahalifu polisi wana jukumu kujua wapi wapi!
Mimi nina imani raia wa Tanzania hawawezi kufanya uhalifu bila kushirikiana na mapolisi ndo maana Magufuli alipoingia madarakani alilijua Hilo na akawatishia akina Muliro kuwa endapo uhalifu ungetokea kwenye maeneo yao angewatumbua ndipo unambuzi ukaisha. Polisi Sasa hivi wanafanya wanavyotaka hakuna wa kumuogopa.
Watu wamepotea jamaa analeta siasa kama vile hayamhusu na ndugu watajijua.Ata kama waliopotea ni wahalifu polisi wana jukumu kujua wapi wapi!
Mimi nina imani raia wa Tanzania hawawezi kufanya uhalifu bila kushirikiana na mapolisi ndo maana Magufuli alipoingia madarakani alilijua Hilo na akawatishia akina Muliro kuwa endapo uhalifu ungetokea kwenye maeneo yao angewatumbua ndipo unambuzi ukaisha. Polisi Sasa hivi wanafanya wanavyotaka hakuna wa kumuogopa.