Mjumbe wa baraza la mashauriano CHADEMA Kagera kamanda Meshack Micus maarufu kama mbunge wa NKENGE kesho anatarajia kuwasiri kwenye timu ya Kamanda MAWAZO uko Magu.
nimekuwa msomaji na mfuatiliaji wa huyu kamanda kabla ya kuwa member humu jf kiukweli jamaa anafanya yanayopaswa kufanywa na mpenda mabadiliko namtakia kila la kheri ktk harakati zake na mungu amlinde ila pale makamanda wengine mnapokuwa karibu na huyu bwana msikose kuuzulia mkutano wake mungu akubaririki kamanda
Kamanda Mawazo anayodhamira ya kweli ya kumkomboa Mtanzania
1. Alijiuzuru kwa hiari yake kutoka nafasi yake ya Udiwani (CCM) na kuanza ukombozi bila ya kashfa yeyote
2. Anaelewa hasa majukumu yake na kajitoa kwa Watanzania na kushinda vijijini palipo na Watanzania wengi wenye ujinga mwingi, wanaodanganywa kirahisi.
3. Kila anapopita anaacha recodi nzuri inayoonekana kwa ushindi wa fikra.
Akimaliza huko Mwanza namshauri ajichimbie kwa Wanyamwezi (Tabora) na kwa kuanzia
1. Nzega ikiwamo Bukene
2. Tabora Mjini
3. Urambo
4. Sikonge
5. Igarula
Huko Tumbaku inalimwa lakini umaskini ndo nyumbani pake sijui kwa nini hawaachi kulima hiyo tumbaku...
Hata mimi nakuja Magu siku ya alhamis ili kuongeza nguvu pamoja na kamanda wangu mawazo sababu ni mwl. wangu ili aone matunda ya miti aliyokuwa akiipanda. HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE MAGU kwenye chaguzi za vijiji na vitongoji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.