Mjumbe wa baraza la mashauruiano CDM Kagera kamanda Meshack Micus amewaomba wana Kahangara wamchague ndugu Alex awe mwenyekiti wao ili aweze kuwa tetea kwenye WODC.Katika mkutano huo alikuwa na wapambanaji wengine kama kamanda Husna,lukanga,Joys,Diwani viti mahalumu Magu bi Zena Zacharia na kamanda Bubeshi na wengine wengi.