Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 355
- 770
- Thread starter
- #21
Simba s.c siyo mali ya Mo DewjiTimu ipi yenu ?
Simba SC ni mali ya MO binafsi !
Mpaka akili ziwakae sawa ndo muamke huko ndotoni
Simba s.c siyo mali ya Mo DewjiTimu ipi yenu ?
Simba SC ni mali ya MO binafsi !
Mpaka akili ziwakae sawa ndo muamke huko ndotoni
Jana jioni Nilipita hapo maeneo ya Jangwani nikaona greda zipo kazini, nikajiuliza maswali mbalimbali.
Mojawapo ya maswali yaliyonijia kichwani ni hivi kweli hawa Yanga wapo serious kujenga kiwanja cha kuchezea mpira hapo?
Leo nimesikia Rais wa Yanga kupitia vyombo vya habari ya kuwa ujenzi rasmi utaanza mwezi wa 4 baada ya hili zoezi la sasa la kuandaa eneo la ardhi itakayotumika.
Hapa nimejiuliza maswali mengi, Simba tumekuwa na mwekezaji karibu miaka 10 sasa, ambaye ameenda mbali zaidi na kudai ameshainunua Simba na ni moja ya mali zake.
Huyu mwekezaji wetu aliwahi kuahidi atajenga uwanja wa kuchezea na tukaanza kuchangia fedha kwa ajili ya huo ujenzi. Ila sijui fedha zile walikula wajanja au zilienda kutumika kwenye matumizi mengine.
Point yangu ni kuwa Simba S.C chini ya Mo Dewji ndio walikuwa wa kwanza kuja na hili wazo la kuwa na uwanja wake sasa naona Utopolo ndio wanaenda kutekeleza ilo wazo.
Kwa trend hii tunapoelekea Simba itaachwa na hawa utopolo kwenye kila kitu, hata huko kwenye rank za Caf napo ni suala la muda tu hawa utopolo watakuwa juu yetu.
Endapo ujenzi wa kiwanja utaanza hapo Jangwani basi ndugu Mo Dewji inabidi atuachie timu mapema ili apatikane mwekezaji ambaye ataweza kushindana na kasi ya Yanga maana tunazidi kuachwa na mchawi tunamjua
Aachie timu aliyoinunua cashMkuu hili wazo tulilitoa sisi Simba ndio maana namtaka Mo Dewji aachie timu endapo Yanga watajenga uwanja
kwani Engineer ni Nani mzee Ata kituo cha mwendokasi wakati kinajegwa pale ao ao Ma Engineer Ndio walitoa izini kwamba wajenge tu hapana shida ila umeona balaa ambalo lilikua linawakuta hadi wakaamua kuamia UbungoTukuamini wewe au Engineer aliyeaminiwa na Engineer???
Hastaili kuendelea vipi wakati timu ni Mali yake na familia yake? Wewe vipi hujui kitu gani? Au unamiliki asilimia ngapi ya hisa za clabu . Mwache afanye awezavyo na timu yakeJana jioni Nilipita hapo maeneo ya Jangwani nikaona greda zipo kazini, nikajiuliza maswali mbalimbali.
Mojawapo ya maswali yaliyonijia kichwani ni hivi kweli hawa Yanga wapo serious kujenga kiwanja cha kuchezea mpira hapo?
Leo nimesikia Rais wa Yanga kupitia vyombo vya habari ya kuwa ujenzi rasmi utaanza mwezi wa 4 baada ya hili zoezi la sasa la kuandaa eneo la ardhi itakayotumika.
Hapa nimejiuliza maswali mengi, Simba tumekuwa na mwekezaji karibu miaka 10 sasa, ambaye ameenda mbali zaidi na kudai ameshainunua Simba na ni moja ya mali zake.
Huyu mwekezaji wetu aliwahi kuahidi atajenga uwanja wa kuchezea na tukaanza kuchangia fedha kwa ajili ya huo ujenzi. Ila sijui fedha zile walikula wajanja au zilienda kutumika kwenye matumizi mengine.
Point yangu ni kuwa Simba S.C chini ya Mo Dewji ndio walikuwa wa kwanza kuja na hili wazo la kuwa na uwanja wake sasa naona Utopolo ndio wanaenda kutekeleza ilo wazo.
Kwa trend hii tunapoelekea Simba itaachwa na hawa utopolo kwenye kila kitu, hata huko kwenye rank za Caf napo ni suala la muda tu hawa utopolo watakuwa juu yetu.
Endapo ujenzi wa kiwanja utaanza hapo Jangwani basi ndugu Mo Dewji inabidi atuachie timu mapema ili apatikane mwekezaji ambaye ataweza kushindana na kasi ya Yanga maana tunazidi kuachwa na mchawi tunamjua
Utajuaje labda serikali imeamua kuijengea uwanja YangaHizo ni porojo na siasa tu kwa timu za Simba na Yanga haziwezi kuwa na Viwanja kama Azam kwa sababu zile ni timu za Serikali, Sasa vikije ga Viwanja pale kwa Mkapa unataka pageuke kama ule Uwanja wa ndege kule CHATO ?
watu kama nyie ndio mnasababisha simba imegota sehemu na haisongi mbele tenaSimba tumheshimu MO Dewji sana sana.
Alijitolea pesa yake kuiboresha Simba peke yake, hadi imekuwa Club ya 5 Bora Afrika.
Yanga wana Matajiri wengi sana kama GSM, Rostam, Riz-wan, Manji, na Matajiri wengine wanao jisogeza CCM kwa maslahi Yao.
Ndio maana Wana wachezi wazuri kutokana na kuweka pesa nyingi.
Waacheni Yanga waende sisi tusubiri muda na wakati wetu.
Ni vema sasa huyo CEO wa Simba atumie muda wake kuwatafuta Matajiri wengine wenye nia ya kuwekeza Simba.
Badala ya kuzurula zurula tu OFISINI.
Simba ni mali ya wanachama, huyo Mo Dewji anapaswa apimwe kama alikuwa ametumia kilevi wakati anatoa ile kauli ya kununua simbaHastaili kuendelea vipi wakati timu ni Mali yake na familia yake? Wewe vipi hujui kitu gani? Au unamiliki asilimia ngapi ya hisa za clabu . Mwache afanye awezavyo na timu yake
Kwahiyo unafikiri jangwan unapajua wewe tu?aisee,kolokocho mna shdakwa mtu anayepafamu jangwani vizuri hawezi kujenga uwanja sehemu ya ovyo kama ile Njia tu za kuingila na kutoka jangwani mara nyingi huwa zinafunga had mwendokasi za kimara kuna kipind zinazunguka ilala boma
Yale yale ya mhasibu na azizi kiNaona ma engineer wanafany yao humu
Kwanini hebu fafanua.watu kama nyie ndio mnasababisha simba imegota sehemu na haisongi mbele tena
Weka akiba ya maneno.
kwani nani amekwambia wew jagwani hupafamu mbona unajishutukiaKwahiyo unafikiri jangwan unapajua wewe tu?aisee,kolokocho mna shda
dah!Simba mbona washajenga uwanja zamani tu na hawaringi
Mchina hajawahi kufeli. Hutaamini ukiambiwa hapa miaka ya nyuma palikua na mafuriko.Na mafuriko yatakalia wapi pale jangwani?
Wanachama michosho. Hata mshahara wa Chama hawawezi kulipa.Simba ni mali ya wanachama, huyo Mo Dewji anapaswa apimwe kama alikuwa ametumia kilevi wakati anatoa ile kauli ya kununua simba
Mo Dewji ndiye anayekwamisha hao matajiri wengine wasije kuwekeza Simba, amehodhi madaraka yote kiasi hata mwenyekiti wa wanachama ndugu Mangungu anafata matakwa yake.Kwanini hebu fafanua.
Wapi nimesema sivyo?
Hujaeleweka.
Acha uongo,Mo ni tajiri hata kabla ya kuwekeza Simba,kwa mujibu wa Forbes mwaka 2015 Mo alikuwa tajiri no moja,hiyo ni kabla ya kuwekeza Simba.Mo ana madhaifu yake lakini kuhusu utajiri amewazidi mbali sana wale jamaa wa magodoro.Mo Dewji ndiye anayekwamisha hao matajiri wengine wasije kuwekeza Simba, amehodhi madaraka yote kiasi hata mwenyekiti wa wanachama ndugu Mangungu anafata matakwa yake.
Kabla ya kuja Simba unadhani Mo Dewj alikuwa na utajiri kiasi gani? Baada ya kuja Simba amekuwa tajili no moja Tanzania na miongoni mwa Matajili wakubwa Afrika kwa sasa.
Simba ndio imemtangaza na kumkuza kibiashara na amekuwa akitangaza bidhaa zake kupitia Simba kwa gharama karibu na bure.
Mo Dewji hana nia ya dhati Simba isonge mbele ndio maana huoni akiwekeza kwny project zitakazoacha alama kwa klabu.