Mangaline
JF-Expert Member
- May 19, 2012
- 1,045
- 221
Kuna aina nyingi za kazi, na hakika ndizo zinazo tuwezesha kumudu maisha. Hata hivyo kazi nyingine huwa ngumu, ingawa watu tunalazimika kuzifanya. Fikiria kazi aifanyayo ndugu yetu kova, anapo lazimika kutumwa kuua, na hasa anapolazimika kuua mtu ambaye moyoni mwake anaamini mtu huyo hana hatia, halafu analipwa hela, ambazo anazitumia kulipa ada za watoto shuleni, kununulia kitabu kitukufu (korani), kutoa sadaka msikitini, na sadaka hiyo hupokelewa na mungu na mungu wake anambariki.
SWALI.
Ungekuwa wewe umepewa kazi hiyo, Mshahara unaolipwa ungenunulia vitu gani??????????????????
SWALI.
Ungekuwa wewe umepewa kazi hiyo, Mshahara unaolipwa ungenunulia vitu gani??????????????????