Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,341
- 51,907
Kq
Kweli waarabu ni wabaguzi mno katika kuoa wanaweza kukataa mtoto kama ndugu yao kamzalisha mwanamke mweusi ninao mifano maana nimekaa sana na waarabu
Tatizo la waarabu ni muundo wa familia zao, nyingi ni Extended famili tofauti na familia za kizungu.
Wazungu akikuoa au ukimuoa wanatumia mfumo wa Nuclear family, Baba, mama na mtoto au watoto.
Waarabu au wahindi hawana tofauti kubwa na Waafrika.
Ndio maana unaweza kuta kijana wa kiarabu akiwa ni kweli anampenda Mbongo lakini ishu inakuja kwenye Familia.
Kwa waarabu na wahindi familia zinanguvu na zinaweza kuamua maisha ya watoto wao