Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Kwa Sasa Dunia yetu inapitia mengi sana sana ...tuanze na la ushoga na usagaji....Kisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ....tatu ugaidi ukiongozwa na makundi mbalimbali ya wanamgambo...ukame ukosefu wa chakura duniani ..matukio ya makanisa kugeuzwa vituo vya mauaji na upotofu mkubwa wa Imani kiasi hatujui tumwamini yupi...je Dunia ibaki mikononi mwa wanasiasa TU au viongozi wa dini Hawa waliopo kwa Sasa ...