Kama viongozi wa dini ndio Hawa je Dunia tuiache mikononi mwa wanasiasa?

Mganguzi

JF-Expert Member
Aug 3, 2022
1,032
2,769
Kwa Sasa Dunia yetu inapitia mengi sana sana ...tuanze na la ushoga na usagaji....Kisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ....tatu ugaidi ukiongozwa na makundi mbalimbali ya wanamgambo...ukame ukosefu wa chakura duniani ..matukio ya makanisa kugeuzwa vituo vya mauaji na upotofu mkubwa wa Imani kiasi hatujui tumwamini yupi...je Dunia ibaki mikononi mwa wanasiasa TU au viongozi wa dini Hawa waliopo kwa Sasa ...
 
Hakuna jipya chini ya jua ndugu yangu... Hayo uyaonayo nyakati hizi yalikuepo enzi na enzi
 
Kwa Sasa Dunia yetu inapitia mengi sana sana ...tuanze na la ushoga na usagaji....Kisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ....tatu ugaidi ukiongozwa na makundi mbalimbali ya wanamgambo...ukame ukosefu wa chakura duniani ..matukio ya makanisa kugeuzwa vituo vya mauaji na upotofu mkubwa wa Imani kiasi hatujui tumwamini yupi...je Dunia ibaki mikononi mwa wanasiasa TU au viongozi wa dini Hawa waliopo kwa Sasa ...
Mimi naona tuikabidhi mikononi mwa mganguzi🤸🤸🤸(a.k.a mchunga kondoo mwituni Shakahola Mackenzie 😂😂😂)
 
Back
Top Bottom