Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,982
- 3,642
Wanabodi
Nimesikitika na kufadhaika baada ya mkuu wa kaya kutoa waziwazi pasipo kificho sababu iliyopelekea kuivunjilia mbali bodi ya mamlaka ya mapato.
Kwa hali hii napata mashaka kua tutawezaje kufikia malengo yetu ya viwanda kama tunaowategemea kutuongoza kukusanya mapato wanafanya waliyofanya.
Hii inanifanya nitilie shaka hata takwimu za mapato ambazo wamekua wakitoa.Ultimately hata takwimu za GDP nazo zinaacha maswali kadhaa.
Imefika pahala sasa tutoe mawazo namna ipi bora ya kusafisha uozo ulioko kwenye mifumo yetu.
Ikumbukwe vita ya wala rushwa..mafisadi haiwezi pigwa na mtu mmoja,ni ya muda mrefu na ya ushirikiano.
Nimesikitika na kufadhaika baada ya mkuu wa kaya kutoa waziwazi pasipo kificho sababu iliyopelekea kuivunjilia mbali bodi ya mamlaka ya mapato.
Kwa hali hii napata mashaka kua tutawezaje kufikia malengo yetu ya viwanda kama tunaowategemea kutuongoza kukusanya mapato wanafanya waliyofanya.
Hii inanifanya nitilie shaka hata takwimu za mapato ambazo wamekua wakitoa.Ultimately hata takwimu za GDP nazo zinaacha maswali kadhaa.
Imefika pahala sasa tutoe mawazo namna ipi bora ya kusafisha uozo ulioko kwenye mifumo yetu.
Ikumbukwe vita ya wala rushwa..mafisadi haiwezi pigwa na mtu mmoja,ni ya muda mrefu na ya ushirikiano.