KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 538
Anaewatakia mema mafisadi tanzania hii achague CCM na Kikwete. mafisadi watapeta kwa kwenda mbele tena akina sie paku pakavu ndo tutaonja joto ya jiwe maana hata pale tunapotafutia maisha nako watabana ile mbaya. Kama wamepeta wakati wa miaka mitano ambayo alikuwa anajua kuwa atarudi kwa watanzania kuomba kura katika kipindi cha pile ambako atakuwa anajua kuwa ndo lala salama kwake si mafisadi watasherehekea?