Asante sana mkuu!, record keeping inanisumbua sana. Nimejaribu hizi siku tano zilizopita naona nazidi kuchanganyikiwa (5days----145,800/= expenditure), ila nakushukuru kwa kunikumbusha. Nimejigundua pesa zipo ila zimekosa managementKila tumizi lako liandike kwenye diary yako.
Hakikisha kila unapotaka kulala unahesabu hela ulopata na kutoa uliyotumia hili kujua upotevu wa pesa yako.
Kamwe huwezi kutunza pesa hadi siku utakapojua wapi inapotelea.