To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,559
- 66,582
Hutakiwi kusex mara kwa Mara Kama hujatulia....Kama umetulia basi uwe na mpenz mmoja mtayeweza kusex Mara kwa maraUnaninanga sasa mdogo wangu....
Hutakiwi kusex mara kwa Mara Kama hujatulia....Kama umetulia basi uwe na mpenz mmoja mtayeweza kusex Mara kwa maraUnaninanga sasa mdogo wangu....
Sawa mdogo wangu nimepokea ushauriHutakiwi kusex mara kwa Mara Kama hujatulia....Kama umetulia basi uwe na mpenz mmoja mtayeweza kusex Mara kwa mara
AsanteSawa mdogo wangu nimepokea ushauri
Mkuu kaanza T14 Armata namimi nimemjibu kulingana na COMMENT yake, kakomenti Kwa vile anafahamu napingana nabaadhi ya mambo yeye anayoyakubali. Tena kakomenti Kwa lengo la kukejeli.Waislamu mshaanza......au hiyo ID yako ya hayatolah inakuchanganya mkuuu......kuona hao watu wa dini yako ndio international zaidi kuliko wengine???🤣🤣🤣🤣🤣 waafrika bhana.....
Oooh kumbe ni watani wa jadi mnataniana.....okyMkuu kaanza T14 Armata namimi nimemjibu kulingana na COMMENT yake, kakomenti Kwa vile anafahamu napingana nabaadhi ya mambo yeye anayoyakubali. Tena kakomenti Kwa lengo la kukejeli.
Hakuna international company ya kukupima sijui ini sijui kifua zaidi ya makampuni ya makafiri au washirika wao. Sema ukweli mkuuMkuu kaanza T14 Armata namimi nimemjibu kulingana na COMMENT yake, kakomenti Kwa vile anafahamu napingana nabaadhi ya mambo yeye anayoyakubali. Tena kakomenti Kwa lengo la kukejeli.
si kweli,Utapita kwenye interview stage zaidi ya 4 na utapewa offer, Kisha utaikubali, baada yahapo utapelekwa kwenye vipimo vya afya Yako ikiwa ni pamoja na x-rays ya kifua, mgongo, watakupima HIV, sukari, pressure, pamoja na homa ya inni na magonjwa mengine kibao.
Aisee tutunze afya zetu.
Ukweli niupi?.si kweli,
DP WORD wanapima mkuu.Hakuna international company ya kukupima sijui ini sijui kifua zaidi ya makampuni ya makafiri au washirika wao. Sema ukweli mkuu
Itakuwa hawataki kutumia gharama kwa ajili ya wafanyakazi wagonjwaUkiwa mgonjwa wanakukataa??