Kama unahitaji ajira kwenye international companies zinazolipa vizuri, tunza afya yako kuliko chochote

Waislamu mshaanza......au hiyo ID yako ya hayatolah inakuchanganya mkuuu......kuona hao watu wa dini yako ndio international zaidi kuliko wengine???🤣🤣🤣🤣🤣 waafrika bhana.....
Mkuu kaanza T14 Armata namimi nimemjibu kulingana na COMMENT yake, kakomenti Kwa vile anafahamu napingana nabaadhi ya mambo yeye anayoyakubali. Tena kakomenti Kwa lengo la kukejeli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom