copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,223
- 2,319
Kama hukutumia kitu chochote zaidi ya kuangalia ukuta kwa hasira na ukafunguka huo sio uchawi bali ni nguvu yako ya asili uliyonayo wewe mwenyewe lakini hujijuwi kama unayo hiyo nguvu . Mpaka itokee shida nyingine ndipo utakapo weza kuitumia hiyo nguvu yako ya asili kuku okowa na matatizo .Mwaka 1999 nilipita kwenye ukuta live bila chenga, ilikua hivi nimetoka kuoga nakatiza dinning room, nika teleza bahati mbaya nilidondokea meza ya msosi mama aka nipa kipigo cha haja na kunifungia chumbani, kwakua nilikua na hasira za kupigwa kwa kuonewa na kufungiwa chumbani, nili ukuazia macho ukuta uku na ufata, niliona ukuta ukijigawa kati kati nikapita nikatokea sitting room nyuma ya kiti cha mzee, Wote wali pigwa butwaa na kwakua nilikua nime kasirika amna alie nisemesha. Hadi leo kila Niki jaribu kupita tena sijawahi fanikiwa. ILA NAHISI NILIIKUA KWENYE MAJARIBU YA KUWA MCHAWI.
Ujue watu wengi husema hakuna ushirikina,but utasena hivyo ikiwa hsujawahi kushuhudia .ila in short nguvu za Giza zipo sana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh asante kwa kunijuza ila natamani sana ijirudie tenaKama hukutumia kitu chochote zaidi ya kuangalia ukuta kwa hasira na ukafunguka huo sio uchawi bali ni nguvu yakoya asili uliyonayo wewe mwenyewe lakini hujijuwi kama unayo hiyo nguvu . Mpaka itokee shida nyingine ndipo utakapo weza kuitumia hiyo nguvu yako ya asili kukuokoa na matatizo .
Mkuu Ninakupa ushauri mzuri ukitaka zile nguvu zije tena achana na kuvuta sigara,kunywa pombe na uzinzi. Na pia uwe unapenda kufanya sana ibada kama ni mkristo nenda sana kanisani la kama ni Muislam nenda sana msikitini na kuacha kusema maneno ya uongo pendelea kusaidia watu. Kuwa mtu mkweli na Muaminifu kwa watu fuatilia Thread za huyu Kijana anayeitwa kwa jina hili Mr Rakims utapata faida nyingi sana ukitaka Thread zake bonyeza hapa.Duh asante kwa kunijuza ila natamani sana ijirudie tena
Daaah pole Sana mwana-SUASO
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Wewe kama huamini kuwa uchawi upo nenda katika Mti wa Mbaazi saa7 usiku ukishafika wakati huo simama chini ya huo mti wa mbaazi kisha vua nguo zako uwe uchi kabisa subiri kama saa 1 ipite basi utawaona wachawi wote wapo uchi kama wewe usije kukimbia unaweza kufa. ukiweza jaribu kisha uje hapa utupe majibu ila Mkononi mwako shika Fimbo ya Mti wa muhogo mchawi hatoweza kukudhuru atakaye jaribu kukusogelea mchape nayo hiyo fimbo ya mti wa muhogo atakwenda kwao kufa.
Amina mkuu, mimi ilikuwa nikisisimka hivyo nashindwa kuendelea kuomba, with time nikawa sawa.Pole tuendelee kumtumainia YesuMkuu kuna vitu tumefanana na hali iliyowahi kunitokea.....huko kusisimka mwili usiku nmezoea na ni kama tu nimenena kwa lugha mda mrefu na kumzingua alieingia room..... Mara zote kwenye hatari ambayo roho yangu inaona naweza angamia Yesu huwa anaingilia kati uoga unaondoka na naanza nena.... Uzuri nashukuru naweza fungulia baraka za kunena kwa lugha... Pole sana mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
your time fanya serious prayers , shirikiana na waombaji hiyo hali itaisha.Usiiache hivyo make sure inapotea kabisaa! Trust God it willDecember mwaka Jana pumzi ilitaka kutoka ghafla tu sema nilikuwa na waombaji karibu na kupakwa olive oil
Hiyo ni system ya kuwaona maisha yako yote au Mara moja tu?Pia na je wao watajua kua umewaona au?UKITAKA KUWAONA WACHAWI (Hii Dawa ni hatari kama hauna kinga ya kutosha mwilini tafadhali usijaribu kabisa)
jua kabisa jambo hili ni hiyari yako lakin ni zuri sana kama utalifanya kwa hakii basi fanya yafuatayo,chukua Muhogo wa aina ya Kisamvu Mpira (Muhogo Mpira) majani yake pamoja na Majani ya mbaazi Hayo Majani ya aina 2 twanga kwa pamoja kisha kamua maji yake unawe usoni wakati wa usiku mwingi hakika utaona ajabuu sana utawaona wachawi wote wanao kusumbuwa usiku.
Haha asante mwana SUASO mwenzanguDaaah pole Sana mwana-SUASO
House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia