johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.
Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.
Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.