Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kwangu sio za ukweli. Muhimu watu wale matunda kwa wingi maana poop ngumu hata ukichuchumaa haitoki na laini hata ukikaa inatoka
Kuna Jamaa yangu àmeowa Mmarekani pure na watoto wake ni Wamarekani pure kitabia.

Basi kuna rikizo akitaka wake Bongo na mama Yao kujuwa Asili ya Baba yake.

Sasa ikabidi twende Mbezi Beach kutafuta shule watakayosoma Kwa muda kipindi wapo Tanzania.

Basi tukaelekezwa the best school maeneo ya Mbezi Beach, mazingira mazuri sasa kukaguwa vyoo ni vya kuchuchumaa wenyewe wanaita squart, hapohapo shule ikawa disco, maana Mmarekani hawezi kutumia Choo cha kuchuchumaa.

Kwahiyo hizi nyingine za mleta mada ni story tu za kulipamba tangazo lake.

Ni kama vile wanywaji Pombe na wavuta sigara kila ugonjwa lazima wapimwe mkwala kwenye sababu zinazosababisha ugonjwa.

Kwa kifupi hizo ni swaga tu.
 
Una pointi kubwa sana. Actually kuna tafiti zinazoonyesha kwamba kuna uhusiano kati ya kuongezeka kwa kansa ya utumbo na ile ya nyuma (colorectal and anal cancers) na kuanza kwa matumizi ya vyoo vya kukaa katika nchi za Kimagharibi japo hawajajua kama ni uhusiano wa kibahati tu au ni uhusiano wa kiusababishi (cause and effect).

Kwenye vyoo vya kukaa uchafu tumboni huwa hauishi na uchafu huo unaweza kusababisha matatizo makubwa (ikiwemo kansa) hasa ukioza na hatimaye kuathiri mfumo wa bakteria wazuri wa tumboni.

Vyoo vya kukaa pia visiposafishwa vizuri na mara kwa mara huwa na bakteria wengi hatarishi na hivyo ni rahisi kupata maambukizi ya kila aina. Hali ni hatari zaidi hasa kama ni choo cha umma.
 
Ila hii kusema maulimbile ya mwa Africa hapa , maumbile ni saw tunapshan lifestyle tuu

Wazungu wanakula kwa discipline ila sisi unakuta umekula chapati kavu na mandaaz ukakalie choo cha kukaaa huwez kunya KBSA kwakuw chakula kgumu hukupata maji na matunda ya kulainsha
 
Hapo aliposema mwafrika ndio nimemtoa akili kabisa na kuishia hapo kwenye kusoma.

Actually huu ni ushauri wa kitaahira tu alioutoa mtoa mada.

Mwisho atasema hata touch screen phone ziliundwa kwa ajili ya wakoma, kama sio mkoma tulia feature phones ama za battan.

Ni mawazo ya watu wajinga, wasio na exposure yoyote na walio na elimu ndogo.


Wallaih Aya yako ya mwisho inakuanika wewe hapo kinagaubaga na sio mleta mada.
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu!

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi! Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa!

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa!

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile!

Hata kama una fundi wako ni bora zaidi kumtumia Samico Tanzania kama rafiki mshauri kwenye ujenzi na umeme!

View attachment 2886667

Nakubaliana na wewe, nina ushahidi
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia


Mleta mada yuko sahihi sana.

Binaadam ameumbwa kuchutama ili kutoa Taka zilizopo ndani ya mwili wake.

Na hata kwa wanawake kuna tafiti zinathibitisha kwamba kuchutama wakati wa kujifungua (kusukuma mtoto) ni kheri na bora zaidi kuliko kulala “chali.


Mungu Fundi.
 
Una pointi kubwa sana. Actually kuna tafiti zinazoonyesha kwamba kuna uhusiano kati ya kuongezeka kwa kansa ya utumbo na ile ya nyuma (colorectal and anal cancers) na kuanza kwa matumizi ya vyoo vya kukaa katika nchi za Kimagharibi japo hawajajua kama ni uhusiano wa kibahati tu au ni uhusiano wa kiusababishi (cause and effect).

Kwenye vyoo vya kukaa uchafu tumboni huwa hauishi na uchafu huo unaweza kusababisha matatizo makubwa (ikiwemo kansa) hasa ukioza na hatimaye kuathiri mfumo wa bakteria wazuri wa tumboni.

Vyoo vya kukaa pia visiposafishwa vizuri na mara kwa mara huwa na bakteria wengi hatarishi na hivyo ni rahisi kupata maambukizi ya kila aina. Hali ni hatari zaidi hasa kama ni choo cha umma.
Umeeleza vizuri sana vyoo vya kukaa ni silent killer! Hivyo lengo ilikuwa watumie wagonjwa, wazee na walemavu tu
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia
Safari zangu zote ughaibuni (USA included) sikuwahi kamwe kukiona choo cha kuchuchumaa. Kamwe sikukiona. Mnaopenda vya kuchuchumaa ni hiyari yenu lkn aliyetutangulia technology yuko vya kukaa. Vya kuchuchumaa ni upgrade toka vya shimo kijijini. Wanaleta maneno meengiiii, urongo mtupu.
 
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja)
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya!

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa!
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha BAWASIRI
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Haya mambo yanategemea mtu amekulia kwenye choo gani tangu utotoni, waliokulia vyoo vya shimo wengi wao wanateseka wakitumia vyo vya kukaa, lakini waliokulia vyoo vya kukaa wanasumbuka sana wakihamia vyoo vya kuchuchumaa

Sijui Prof. Janabi anatushauri nini juu ya hili
 
Safari zangu zote ughaibuni (USA included) sikuwahi kamwe kukiona choo cha kuchuchumaa. Kamwe sikukiona. Mnaopenda vya kuchuchumaa ni hiyari yenu lkn aliyetutangulia technology yuko vya kukaa. Vya kuchuchumaa ni upgrade toka vya shimo kijijini. Wanaleta maneno meengiiii, urongo mtupu.
Hapa hatukatai muonekani wa choo cha kukaa!
Tunachokikataa ni ile dhana ya kujisaidia ukiwa umekaa!

Ni kweli zamani vyoo vilikuwa vya mashimo, juu ya miti, hata vichakani! Ustaarabu ulipokuja ukaja na choo cha kuchuchumaa pasipo kuharibu ile dhana asilia ya maumbile!

Ndiyo maana kiufundi bado tunakushauri kwenye hicho choo cha kukaa unaweza kuweka side bench ili uweze kupanda na kuchuchumaa!

Teknolojia iliyobora ni ile inayoendana na maumbile
 
Back
Top Bottom