Wana ccm wanasema serikali tatu jeshi litatawala nchi,Mara muungano utakufa. Ukawa wanasema serikali mbili ni sintofahamu,znz kutojitambua,kutokuwa na mamlaka kamili, huku watanganyika wakiona kama znz ni nchi nyingine ndani ya nchi moja.
Mimi nashauri ili kurahisisha mambo kwanza huu muungano ufe. Mpaka pale tutakapotaka kuungana tuanzishe mchakato wa kuungana kama livyo mchakato wa eac.
Hatuwezi kupitisha serikali mbili leo kesho tusikie vurugu znz, mara watanganyika machinga wanachomewa vibanda vyao huko visiwani angali ni nchi moja.malalamiko ya znz yamedumu karne na karne.
Pia hatuwezi kupitisha tatu bila kuangalia utayari wa washiriki kuchangia, isije kutokea mdau mmoja anaambiwa lete mchango wako aseme hana kitu huku watumishi miezi inasonga hawajalipwa nayo ni hatari kwa taifa.Alafu muungano wa serikali tatu kati ya tanganyika na zanzibar wa nini serikali zote angali znz na tanganyika wakiachana watakutana eac ambako nako tuna mchakato wa kuwa na dola moja.isiwe kulazimishana.muda uliopotea ni mkubwa kuliko mapato yapatikanayo kwa sababu ya muungano.
Ukipiga hesabu zaidi ya siku hamsini sasa wajumbe zaidi ya 600 wanakula laki 3 kwa siku kuhusu muungano alafu ukiiuliza tra imekusanya kiasi gani znz kuleta hazina unaweza kuta hata mil 100 haifiki.
Mimi nashauri ili kurahisisha mambo kwanza huu muungano ufe. Mpaka pale tutakapotaka kuungana tuanzishe mchakato wa kuungana kama livyo mchakato wa eac.
Hatuwezi kupitisha serikali mbili leo kesho tusikie vurugu znz, mara watanganyika machinga wanachomewa vibanda vyao huko visiwani angali ni nchi moja.malalamiko ya znz yamedumu karne na karne.
Pia hatuwezi kupitisha tatu bila kuangalia utayari wa washiriki kuchangia, isije kutokea mdau mmoja anaambiwa lete mchango wako aseme hana kitu huku watumishi miezi inasonga hawajalipwa nayo ni hatari kwa taifa.Alafu muungano wa serikali tatu kati ya tanganyika na zanzibar wa nini serikali zote angali znz na tanganyika wakiachana watakutana eac ambako nako tuna mchakato wa kuwa na dola moja.isiwe kulazimishana.muda uliopotea ni mkubwa kuliko mapato yapatikanayo kwa sababu ya muungano.
Ukipiga hesabu zaidi ya siku hamsini sasa wajumbe zaidi ya 600 wanakula laki 3 kwa siku kuhusu muungano alafu ukiiuliza tra imekusanya kiasi gani znz kuleta hazina unaweza kuta hata mil 100 haifiki.