Kama nitakufa hapa Seleani Hospital kwa maumivu niliyopata jana msife moyo endeleeni kupambana,

Thomas Sankra Jr

JF-Expert Member
Mar 14, 2013
418
128
Muda ndio huu na wakati umefika kwa serikali dhalimu kuondoka. Tumechoka na serikali kandamizi na chochezi ni lazima ziondoke na kuachia madalaka kwa amani kwa watanganyika wenyewe, nilikipenda sana chama cha ukombozi wa tanganyika lakini mmetusaliti kwa kuzitumia rasilimali zetu mtakavyo na kutuacha hatuna umeme wa uhakika,kilimo chenye manufaa kwa watanganyika,madawa hakuna,vifo vya kina mama na watoto visivyokwisha au hata kupungua na ufisadi wa kutisha katika manunuzi ya umma. kwa sasa imetosha tena imetosha sana napambana kwa ajili ya watoto na wajukuu wa kizazi kijacho niko Selean hospt arusha natibiwa kwa maumivu ya mguu na mkono niliyoyapata jana najitolea kufa kwa ajili ya tanganyika mpya serikali dhalimu lazima zioòndoke.
 
pole. pogania uzima wako kwanza, ukipona umuulize mbowe au lissu au lema yeye ameumia wapi??akili ya kuambiwa changanya na yako
 
kama unaona hospitali hazina huduma umeenda kufanyaje hapo hospitali?? si ungeenda kwa waganga wa kienyeji??? hatudanganyiki
 
ifweero, unajibu hoja moja kwa post nne?? Kila post shilingi ngapi? Utajiri hautafutwi hivyo
 
pole. pogania uzima wako kwanza, ukipona umuulize mbowe au lissu au lema yeye ameumia wapi??akili ya kuambiwa changanya na yako

Hao uliowataja ndiyo waanzilishi wa fujo au? Wewe mwombe Mungu upone. kama hujaokoka bado mtafute mtu akuongoze sala ya toba ili ukifa ukapumzike. Vinginevyo unaweza kufa ukakutana na moto kuliko wa Arusha.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
We ni kilaza ..... Uchaguzi wa kata unawezaje kubadili mustakabali wa taifa zima.Ukifa hasara ni kwa Familia Yako.pole lakin usirudie kujifanya unajua sana

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ye shall not perish but shall live forever, May the lord bless us all and may he bless our M4C.
 
Hao uliowataja ndiyo waanzilishi wa fujo au? Wewe mwombe Mungu upone. kama hujaokoka bado mtafute mtu akuongoze sala ya toba ili ukifa ukapumzike. Vinginevyo unaweza kufa ukakutana na moto kuliko wa Arusha.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hapo umenena vema,mwenye masikio na asikie.
 
Muda ndio huu na wakati umefika kwa serikali dhalimu kuondoka. Tumechoka na serikali kandamizi na chochezi ni lazima ziondoke na kuachia madalaka kwa amani kwa watanganyika wenyewe, nilikipenda sana chama cha ukombozi wa tanganyika lakini mmetusaliti kwa kuzitumia rasilimali zetu mtakavyo na kutuacha hatuna umeme wa uhakika,kilimo chenye manufaa kwa watanganyika,madawa hakuna,vifo vya kina mama na watoto visivyokwisha au hata kupungua na ufisadi wa kutisha katika manunuzi ya umma. kwa sasa imetosha tena imetosha sana napambana kwa ajili ya watoto na wajukuu wa kizazi kijacho niko Selean hospt arusha natibiwa kwa maumivu ya mguu na mkono niliyoyapata jana najitolea kufa kwa ajili ya tanganyika mpya serikali dhalimu lazima zioòndoke.

Wewe ndiyo Msaliti namba moja, kwanza umevunja Sheria za Nchi yetu kwa kuiita Tanganyika wakati hiyo Nchi haipo kuna Nchi moja tu, Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Pili wewe ni Muongo mkubwa, pamoja na changamoto nyingi tulizonazo lkn bado tumejitahidi na tumepiga hatua kubwa tu mbele ukilinganisha na tulikotoka, Mifano hai ipo mingi kuna watu nawajua ambao wametokea Familia maskini kabisa lkn wameweza kusoma mpaka Chuo Kikuu na sasa wamepata kazi na wameondokana na Umaskini, si ajabu hata wewe ukawa mmojawapo!

Idadi ya Wamama wanaozalia Hospitalini imeongezeka kwa maana nyingi vifo vya mama na mtoto vimepungua, vijana wengi tu wanapata kazi wana maisha mazuri ingawaje bado kazi ni kubwa mbele, lkn tunakwenda vizuri!

Hivyo, Acha Uongo na ni najua kwa uhakika wewe hauko Hospitalini na wala haujaumizwa, ila uko hapa kuwakebehi wale waliokufa na kuumizwa kwa manufaa yako binafsi, wewe ndiyo moja ya wachochezi wakubwa mnaokaidi Sheria za Nchi kwa kwenda kinyume na Matakwa ya Serikali (Halali), Acha uchochezi waache marehemu wa watu wapuumzike kwa Amani na usijali zamu yako kwenda Hospitalini itafika tu!

 
tunakuombea mungu akupokee, kwani vinginevyo unaweza kukutana na moto mkubwa zaid wa huu, hapa duniani wote tunapita, hata sisi tutakufuata ni maisha tuu, ila km utapona jiepushe na shari ili uweze kupata maisha marefu kwani lisu, mbowe awezi kukusaidia wakati unachomwa motoni, ki
 
Jitolee kufa tu hamna tatizo sema hizo dawa unazopewa hospitalini usizitumie ili ufe haraka au ji overdose..
 
Back
Top Bottom