Kama ningekuwa dr hosea ningejiuzuru ukurugenzi afu nikaomba hifadhi brazil au nchi yoyote kama mhamiaji wa kisiasa afu nitoboe misiri yote ya viongozi waliopelekea taifa kuwa ktk hali mbaya hivi.
Maana inaonekana dr hosea anayajua mengi
na akistaafu tu watamfanyia kama walivyomfanyia dr balali(tunayedhani au kufikiri amekufa)
mwenye hoja
Maana inaonekana dr hosea anayajua mengi
na akistaafu tu watamfanyia kama walivyomfanyia dr balali(tunayedhani au kufikiri amekufa)
mwenye hoja