Kama nchi tumefeli kwenye Ufunguzi wa African Football League

pwilo

JF-Expert Member
May 27, 2015
10,098
12,474
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
 
Una point japo wasiwasi wangu ni terms za mikataba kati ya hao wadhamini Visit Rwanda na Visit Saudi so isingewezekana mnyama kuwa na Visit Tanzania ila kama nchi ingetakiwa kuwapa Offer ya kuwapeleka Mbugani ile delegate ya FIFA ingesaidia sana kuutangaza utalii wetu.
 
Habari za wakati huu wakuu,
Jana ilikuwa siku muhimu sana katika historia ya soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya ufunguzi wa African football league katika uwanja wa Benjamin william mkapa national stadium mechi ambayo iliisha kwa sare ya goal mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni saudia na Rwanda ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama VISIT RWANDA na VISIT SAUDI yalionekana ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira duniani walikuwa uwanjani akiwemo raisi wa fifa na aliyekuwa kocha wa zamani wa arsenal mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu,

hvyo nilitegemea wachezaji wa team ya wanawake ya simba na wachezaji vijana wa simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani kweli mtu amuangalie kibu Denis na saido ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain walisema wachezaji wa simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya bara la afrika na Tanzania kiujumla ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu barani Africa nilishangaa kuona m-bet badala ya VISIT TANZANIA kwenye kifua wakati mkataba wa m-bet ulikuwa ni caf champions league kwa level za kimataifa na mashindano yote ya ndani nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea bado hatujachelewa tujipange tena kwenye maandalizi ya Afcon tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha tuamke wazee dunia ya 1980 sio ya Leo 2023 next time tujipange.

Alamsik
Walikuwa wanasubiri wapige picha na Wenger na Infantino wapost Insta.
 
Una point japo wasiwasi wangu ni terms za mikataba kati ya hao wadhamini Visit Rwanda na Visit Saudi so isingewezekana mnyama kuwa na Visit Tanzania ila kama nchi ingetakiwa kuwapa Offer ya kuwapeleka Mbugani ile delegate ya FIFA ingesaidia sana kuutangaza utalii wetu.
Yes hili ni kweli kabisa Mimi iliniudhi sana mpka kwenye information zone pale Red carpet pia Visit Rwanda kwani hakukuwa na Tanzania...
Ni muhimu saa kuangalia Mikataba tunayoungia isije ikatufnya kuwa watumwa kama Jana
 
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
sikia wewe,hayo mashindano nchi haina nafasi ya kufanya chochote maana wenye mamlaka ni caf
 
Yes hili ni kweli kabisa Mimi iliniudhi sana mpka kwenye information zone pale Red carpet pia Visit Rwanda kwani hakukuwa na Tanzania...
Ni muhimu saa kuangalia Mikataba tunayoungia isije ikatufnya kuwa watumwa kama Jana
Post namba 4 ya Watu8 amemaliza case hapo.

Kitendo cha ufunguzi tu kufanyikia Tanzania maana yake tayari Tanzania imejitangaza tayari. So ulitaka Tanzania iwe mdhamini kama vile Rwanda na Saudia?
 
Hivi unajua kwamba yale ni mashindano chini ya uangalizi wa CAF na sio TFF wala Simba?

Unajua kwamba ile haikuwa mechi ya hisani au testimonial match...?
Najua mkuu soma vizuri utanielewa point yanga ni kwamba kwa mazingira ya jana kivyovyote vile ilitakiwa tuchezeshe vijana kwasababu mchezaji mdogo jana kwa simba alikuwa ali salum waliobaki wote wazee hawauziki nje tena sidhani kama wangeomba kwa jana tu kwenye tamasha la ufunguzi kama wangekataliwa kwasababu vitu vyote vinavyofanyika kabla ya mechi ni team wenyeji ndio wana organise yaani FIFA wakubali ali kiba aperform wakatae mechi za bonanza za wanawake na vijana under 20 na under 17 ili kukuza vijana sasa ma agents waikuja kufanya nn jana.
 
Point muhimu sana hizi kuanzia ishu ya wachezaji waliopangwa hadi inshu ya kuitangaza nchi. Unamuweka benchi Phiri, mchezaji mwenye potential ya kuuzika nje unawapanga wastaafu ambao siyo tu mchango wao kwenye timu ni negative ila hakuna anayeweza kuwataka kutokana na umri wao. Kwenye hilo lingine, miaka ijayo utashangaa dunia ikiwa inadhani Dar es Salaam ipo Rwanda tutabaki kushangaana imetokeaje. Mipango ya awali ya AFCON tu inaonyesha tuna tabia ya kutofikiri mambo kwa mapana na marefu.
 
Habari za wakati huu wakuu,

Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william Mkapa mechi ambayo iliisha kwa sare ya goli mbili.

Wadhamini wakubwa wa mashindano haya ni Saudia na Rwanda, ambapo wakati mechi inaendelea maneno kama Visit Rwanda na Visit Saudia yalionekana, ambayo kiuhalisia hiyo nafasi ilitakiwa iwe yetu.

Inamaana kuanzia zanzibar na Tanzania bara hawakuona umuhimu wa kutafuta kitu cha kututangaza kama nchi mpaka Rwanda na Saudia wanachangamkia fursa sisi tupo tumelala usingizi wa pono! Hapo kama nchi tumefeli.

Kwa tukio la jana ambalo watu maarufu na viongozi mbalimbali wa mpira Duniani walikuwa uwanjani akiwemo Rais wa FIFA na aliyekuwa Kocha wa zamani wa Arsenal, Mzee Arsene Wenger ilikuwa fursa adhimu ya kuonyesha vipaji mbalimbali tulivyonavyo katika nchi yetu.

Hivyo nilitegemea wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Simba na wachezaji vijana wa Simba kucheza mechi za ufunguzi kabla ya mechi rasmi, kwasababu jana kulikuwa na football agents kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Kweli mtu amuangalie Kibu Denis na Saido Ntibazonkiza hata kama ni wachezaji wazuri atawapeleka wapi kwa umri wao? Kosa kama hilo tulifanya walivyokuja Sevilla kutoka Spain, walisema wachezaji wa Simba ni wazuri ila umri ndio ilikuwa tatizo.

Wenzetu hutumia fursa kama hizi kama njia ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na kuonyesha uwezo wa wachezaji wadogo kama njia na fursa ya kusakata kabumbu nje ya Bara la Afrika na Tanzania kiujumla, ila na hapo pia tumefeli kama nchi na kama club.

Simba kwa kushirikiana na serikali walitakiwa waingie makubaluano katika mashindano haya makubwa kwa ngazi ya vilabu Barani Africa, nilishangaa kuona M-Bet badala ya Visit Tanzanka kwenye kifua wakati mkataba wa M-Bet ulikuwa ni CAF Champions League kwa Level za Kimataifa na Mashindano yote ya ndani, nilishangaa kuona na hili pia linatupita kama nchi tumefeli kwenye hili tena.

Kuteleza si kuanguka, ila wakati mwingine tutumie haya mashindano kibiashara zaidi kuliko kuangulia tu matokea. Bado hatujachelewa, tujipange tena kwenye Maandalizi ya AFCON, tusichezee fursa wakati zipo mlangoni mpaka majirani wanazichangamkia.

Tatizo tunaangalia kila kitu kisiasa na kiushabiki, ndio maana kila siku tunakumbuka shuka kumekucha! Tuamke wazee, Dunia ya 1980 sio ya leo 2023, next time tujipange.

Alamsik.
Umeongea point za muhimu bila kujali ni mashabiki wa timu gani ila kiukweli ilikuwa nafasi nzuri kama nchi kujitangaza. Ila pia kama timu ilitakiwa nayo itumie pia nafasi kama hiyo kuitambulisha nchi hata kwa wachezaji kubeba mabango yenye ujumbe wa kuitangaza nchi ila inasikitisha waliona ni fursa kupiga picha na wageni.
Ukiachia mbali Wizara zetu za michezo na Utalii, mlezi wa vilabu vya mpira wa Miguu TFF naye alikimbilia kupiga picha badala ya kubudi ni namna gani angeweza tangaza nchi . Nilitegemea kuanzia uwanja wa ndege hadi mjini ningeona angalau hata bendera au mabango ya kutangaza vivutio kama mlima,mbuga ,visiwa vyetu 3 hata ndege yetu ya ATC kweli?
 
Una point japo wasiwasi wangu ni terms za mikataba kati ya hao wadhamini Visit Rwanda na Visit Saudi so isingewezekana mnyama kuwa na Visit Tanzania ila kama nchi ingetakiwa kuwapa Offer ya kuwapeleka Mbugani ile delegate ya FIFA ingesaidia sana kuutangaza utalii wetu.
Hapana sidhani kama mkataba wa team husika unaingiliana na wadhamini wakuu ndio maana bakhresa anatangaza mo energy licha ya kuwa mpinzani wake kwenye AZAM energy.
 
Post namba 4 ya Watu8 amemaliza case hapo.

Kitendo cha ufunguzi tu kufanyikia Tanzania maana yake tayari Tanzania imejitangaza tayari. So ulitaka Tanzania iwe mdhamini kama vile Rwanda na Saudia?
Sio kila mtu anaijua Tanzania ndugu yangu nje ya mipaka ya Tanzania yaani zanzibar ni maarufu kuliko Tanzania kwa hyo tunajulikana kwa wanaotujua tu mkuu.
 
Najua mkuu soma vizuri utanielewa point yanga ni kwamba kwa mazingira ya jana kivyovyote vile ilitakiwa tuchezeshe vijana kwasababu mchezaji mdogo jana kwa simba alikuwa ali salum waliobaki wote wazee hawauziki nje tena sidhani kama wangeomba kwa jana tu kwenye tamasha la ufunguzi kama wangekataliwa kwasababu vitu vyote vinavyofanyika kabla ya mechi ni team wenyeji ndio wana organise yaani FIFA wakubali ali kiba aperform wakatae mechi za bonanza za wanawake na vijana under 20 na under 17 ili kukuza vijana sasa ma agents waikuja kufanya nn jana.
Ili tubondwe mtucheke nyie kama yanga😅
 
Ili tubondwe mtucheke nyie kama yanga
No vijana wangecheza hata vijana wenzao kwa mfano wangecheza fountain gates academy na simba ila vijana na wanawake kabla ya mechi husika that's was my point mkuu.
 
Sisi kama simba tume Play part yetu. Yanga pamoja na ccm yao wangefanya yaliyobaki.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Najua mkuu soma vizuri utanielewa point yanga ni kwamba kwa mazingira ya jana kivyovyote vile ilitakiwa tuchezeshe vijana kwasababu mchezaji mdogo jana kwa simba alikuwa ali salum waliobaki wote wazee hawauziki nje tena sidhani kama wangeomba kwa jana tu kwenye tamasha la ufunguzi kama wangekataliwa kwasababu vitu vyote vinavyofanyika kabla ya mechi ni team wenyeji ndio wana organise yaani FIFA wakubali ali kiba aperform wakatae mechi za bonanza za wanawake na vijana under 20 na under 17 ili kukuza vijana sasa ma agents waikuja kufanya nn jana.
Kaalcohol kazungushwa mpaka katema bungo....teh teh....
 
Back
Top Bottom