Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Nakumbuka mnamo mwaka 2007 Chuo Kiku cha Edinburgh cha huko Scotland nchini Uingereza kilitangaza kumnyang'anya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe Shahada ya heshima waliyompa miaka takriban 20 iliyopita.
Na huko nchini Marekani pia, Rais wa chuo Kikuu cha Massachusetts (UMass) Jack Wilson,alithibitisha kwamba, chuo hicho kipo katika nafasi ya kuchukua hatua kama hiyo juu ya udaktari wa heshima wa sheria waliyompo Rais Mugabe hapo Oktoba 1986, baada ya mkutano wake na bodi yake ya mambo ya kitaaluma na mwanafunzi. Wasiwasi wangu ni kwamba, kutokana na mwenendo wa kisiasa hapa nchini, sitashangaa, iwapo hali hiyo itatokea…………..
Nyie subirini tu, time will tell……………………
Na huko nchini Marekani pia, Rais wa chuo Kikuu cha Massachusetts (UMass) Jack Wilson,alithibitisha kwamba, chuo hicho kipo katika nafasi ya kuchukua hatua kama hiyo juu ya udaktari wa heshima wa sheria waliyompo Rais Mugabe hapo Oktoba 1986, baada ya mkutano wake na bodi yake ya mambo ya kitaaluma na mwanafunzi. Wasiwasi wangu ni kwamba, kutokana na mwenendo wa kisiasa hapa nchini, sitashangaa, iwapo hali hiyo itatokea…………..
Nyie subirini tu, time will tell……………………