Kama Mugabe aliweza kunyang’anywa Degree ya heshima, sitashangaa hilo likitokea hapa nchini!

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,810
15,398
Nakumbuka mnamo mwaka 2007 Chuo Kiku cha Edinburgh cha huko Scotland nchini Uingereza kilitangaza kumnyang'anya Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe Shahada ya heshima waliyompa miaka takriban 20 iliyopita.

Na huko nchini Marekani pia, Rais wa chuo Kikuu cha Massachusetts (UMass) Jack Wilson,alithibitisha kwamba, chuo hicho kipo katika nafasi ya kuchukua hatua kama hiyo juu ya udaktari wa heshima wa sheria waliyompo Rais Mugabe hapo Oktoba 1986, baada ya mkutano wake na bodi yake ya mambo ya kitaaluma na mwanafunzi. Wasiwasi wangu ni kwamba, kutokana na mwenendo wa kisiasa hapa nchini, sitashangaa, iwapo hali hiyo itatokea…………..

Nyie subirini tu, time will tell……………………
 
Hilo kweli maana dkt augustino lyatonga mrema anastahili kunyang'anywa.pia yule dkt wa cdm naye mambo ya aibu anayoyafanya anastahili kunyang'anywa phd yake,haiwezekani dr mzima ukaitisha mgomo wa kugomea maamuzi ya mahakama.
 
Hilo kweli maana dkt augustino lyatonga mrema anastahili kunyang'anywa.pia yule dkt wa cdm naye mambo ya aibu anayoyafanya anastahili kunyang'anywa phd yake,haiwezekani dr mzima ukaitisha mgomo wa kugomea maamuzi ya mahakama.

Na yule aliyepewa Udaktari waheshima wakati fulani kule nchini Kenya, na hivi karibuni PHD ya heshima pale mlimani hapaswi kupokwa?
Hebu tafakari kabla ya kuropoka....................
 
Hivi Nyerere aliwahi kupewa hizi Digrii za heshima? kama ndio, ilikuwa ya nini?

Nyerere has received honorary degrees from the University of Edinburgh (UK), Duquesne University (USA), University of Cairo (Egypt), University of Nigeria (Nigeria), University of Ibadan (Nigeria), University of Liberia (Liberia), University of Toronto (Canada), Howard University (USA), Jawaharlal Nehru University (India), University of Havana (Cuba), National University of Lesotho,[SUP][21][/SUP] University of the Philippines, Fort Hare University (South Africa), Sokoine University of Agriculture (Tanzania), and Lincoln University (PA, USA).

He received the Nehru Award for International Understanding in 1976, the Third World Prize in 1982, the Nansen Medal for outstanding services to Refugees in 1983, the Lenin Peace Prize in 1987, the International Simón Bolívar Prize in 1992, and the Gandhi Peace Prize in 1995.

President Yoweri Museveni of Uganda awarded Nyerere the Katonga, Uganda's highest military medal, in honour of his opposition to colonialism and Idi Amin's government in 2007.
 
Hapa watu lazima mtofutishe kati ya shahada ya heshima ya uzamivu na ile ya kuingia darasani/kufanya utafiti yaani shahada ya uzamivu wa udaktari wa falsafa (PhD). Shahada ya heshima kama inavyojulikana "a degree honoris causa" It is not customary, however, for recipients of an honorary doctorate to adopt the prefix 'Dr'. Kwa maana nyingine ni yule mwenye PhD ya darasani jina lake linatakiwa lianze na Dr. (mfano Dr. W.P Slaa) Hivyo makosa makubwa kuandika sehemu yoyote ile mfano Dr. Jakaya Kikwete. Katika nyakati zote waliokutunuku wanaweza kukunyanganya hiyo heshima waliyokupa.
 
Nyerere has received honorary degrees from the University of Edinburgh (UK), Duquesne University (USA), University of Cairo (Egypt), University of Nigeria (Nigeria), University of Ibadan (Nigeria), University of Liberia (Liberia), University of Toronto (Canada), Howard University (USA), Jawaharlal Nehru University (India), University of Havana (Cuba), National University of Lesotho,[SUP][21][/SUP] University of the Philippines, Fort Hare University (South Africa), Sokoine University of Agriculture (Tanzania), and Lincoln University (PA, USA).
He received the Nehru Award for International Understanding in 1976, the Third World Prize in 1982, the Nansen Medal for outstanding services to Refugees in 1983, the Lenin Peace Prize in 1987, the International Simón Bolívar Prize in 1992, and the Gandhi Peace Prize in 1995. President Yoweri Museveni of Uganda awarded Nyerere the Katonga, Uganda's highest military medal, in honour of his opposition to colonialism and Idi Amin's government in 2007.

And he bearly mentioned it. He humbled his title to mere 'mwalimu.' Rest in piece...!
 
Huyu jamaa lazima apokwe tu. Nani watakubali kuendelea kutunuku shahada yao ya heshima kwa mtu mmwagaji damu kiasi hiki? Labda wawe mafisadi wenzie.
 
And he bearly mentioned it. He humbled his title to mere 'mwalimu.' Rest in piece...!

It is not customary, however, for recipients of an honorary doctorate to adopt the prefix 'Dr'. Nyerere alijua miiko ya hiyo shahada ya heshima ndiyo maana hakuwa anaandika Dr. Nyerere.
 
Nyerere has received honorary degrees from the University of Edinburgh (UK), Duquesne University (USA), University of Cairo (Egypt), University of Nigeria (Nigeria), University of Ibadan (Nigeria), University of Liberia (Liberia), University of Toronto (Canada), Howard University (USA), Jawaharlal Nehru University (India), University of Havana (Cuba), National University of Lesotho,[SUP][21][/SUP] University of the Philippines, Fort Hare University (South Africa), Sokoine University of Agriculture (Tanzania), and Lincoln University (PA, USA).
He received the Nehru Award for International Understanding in 1976, the Third World Prize in 1982, the Nansen Medal for outstanding services to Refugees in 1983, the Lenin Peace Prize in 1987, the International Simón Bolívar Prize in 1992, and the Gandhi Peace Prize in 1995. President Yoweri Museveni of Uganda awarded Nyerere the Katonga, Uganda's highest military medal, in honour of his opposition to colonialism and Idi Amin's government in 2007.


Kwa hiyo na yeye ni Dokta Nyerere au siyo?
 
It is not customary, however, for recipients of an honorary doctorate to adopt the prefix 'Dr'. Nyerere alijua miiko ya hiyo shahada ya heshima ndiyo maana hakuwa anaandika Dr. Nyerere.

Kwani ulisha msikia Kikwete kajiita mimi ni Dr. Kikwete? au Kaandika mimi ni Dr. Kikwete?
 
Hivi Nyerere aliwahi kupewa hizi Digrii za heshima? kama ndio, ilikuwa ya nini?

It seems you are so obsessed with JKN! But I can tell you one thing: Your hero (he even tried to copy the great man's initials thinking we'll be fooled to accord him what the old statesman earned) is and will never be equal to him! Respect is earned and never given!
 
Sasa kwa taarifa yako JK 2010 alilazimisha apate hizo honorary degree lengo aitwe Dr ili awe sawa na Dr Slaa, na anapenda sana kuitwa Dr hata baadhi ya hotuba zilizokuwa zikiandaliwa kile kipindi cha kampeni usipomwita Dr alikuwa anamind. Yaani jamaa mwoga sana coz kabla CDM hawajatangaza mgombea alikuwa amebweteka sana akijua atashinda tu coz CDM Wangemweka Mbowe na CUF lipumba. Mwishoni kabisa baada ya kuona CDM wamemtangaza Dr Slaa jamaa aliweweseka sana na ni mwoga sana kupambana na challenge. Kama mtakumbuka alipohutubia pale Lumumba akaanza kusema adui usimakadirie silaha we tumia silaha ya aina yeyote. Alihaha sana ndo maana akaanza kutafuta hiyo honorary degree kutoka UDOM lengo lake aitwe Dr afanane na Slaa, kumbuka karatasi za kupigia kura ziliandikwaje. Sasa angapta kama za nyerere si angetaka aitwe profesa. Jk kilaza sana anapenda cheap popularity sifa za kijinga. Go to hell Jk
 
Sasa kwa taarifa yako JK 2010 alilazimisha apate hizo honorary degree lengo aitwe Dr ili awe sawa na Dr Slaa, na anapenda sana kuitwa Dr hata baadhi ya hotuba zilizokuwa zikiandaliwa kile kipindi cha kampeni usipomwita Dr alikuwa anamind. Yaani jamaa mwoga sana coz kabla CDM hawajatangaza mgombea alikuwa amebweteka sana akijua atashinda tu coz CDM Wangemweka Mbowe na CUF lipumba. Mwishoni kabisa baada ya kuona CDM wamemtangaza Dr Slaa jamaa aliweweseka sana na ni mwoga sana kupambana na challenge. Kama mtakumbuka alipohutubia pale Lumumba akaanza kusema adui usimakadirie silaha we tumia silaha ya aina yeyote. Alihaha sana ndo maana akaanza kutafuta hiyo honorary degree kutoka UDOM lengo lake aitwe Dr afanane na Slaa, kumbuka karatasi za kupigia kura ziliandikwaje. Sasa angapta kama za nyerere si angetaka aitwe profesa. Jk kilaza sana anapenda cheap popularity sifa za kijinga. Go to hell Jk

Na ndio maana nikasema tangu awali kwamba, sitashangaa iwapo watampoka........................ Nyie subirini tu.......
 
Pamoja na mambo mengine kwa habari ya uongozi namwadmire sana Rais Mugabe...ni kiongozi wa aina yake whom amepitia pori na nyika,kupakwa matope sana na kunenewa kila aina ya baya huku sumu hii ipipenya kwa kasi sana kwa waumini wa Mabepari wa Magharibi ambao baada ya kutukalia kiakili wanapropose tuoane wenyewe kwa wenyewe ili turudishie kidogo katika fungu kubwa walilotuibia...
 
Hilo kweli maana dkt augustino lyatonga mrema anastahili kunyang'anywa.pia yule dkt wa cdm naye mambo ya aibu anayoyafanya anastahili kunyang'anywa phd yake,haiwezekani dr mzima ukaitisha mgomo wa kugomea maamuzi ya mahakama.
Unaweweseka tuu, akitajwa bwana ako mkwe.re.. yule dr wa cdm hakupewa kama hongo. Aliingia darasani. Anayestahili kupokkwa ni huyu aliepewa kama kulipa fadhira
 
It is not customary, however, for recipients of an honorary doctorate to adopt the prefix 'Dr'. Nyerere alijua miiko ya hiyo shahada ya heshima ndiyo maana hakuwa anaandika Dr. Nyerere.
Wakati nchi nyingi za kiAfrika, hasa zile zilizokuwa chini ya Waingereza, zinakaribia kupata uhuru viongozi wengi waliotarajiwa kuchukuwa uongozi waliperwa hizo degree za heshima za farisafa kama njia ya kuwaghiribu. Hivyo wengi walikuwa na hizo titles: Dr. Nyerere, Dr. Milton Obote, Dr. Kaunda, etc. Lakini baada ya kupata uhuru wengi waligundua ujuha waliokuwa wamevishwa na kuziacha hizo titles.
 
Pamoja na mambo mengine kwa habari ya uongozi namwadmire sana Rais Mugabe...ni kiongozi wa aina yake whom amepitia pori na nyika,kupakwa matope sana na kunenewa kila aina ya baya huku sumu hii ipipenya kwa kasi sana kwa waumini wa Mabepari wa Magharibi ambao baada ya kutukalia kiakili wanapropose tuoane wenyewe kwa wenyewe ili turudishie kidogo katika fungu kubwa walilotuibia...
Mugabe does not need honorary degrees. He has four or five legally and fairly earned academic degrees, most of them acquired while he was in colonial Rhodesia prison. In any case Mugabe has never used the prefix Dr. which to me is an irrelevance because it has no relationship with a person's knowledge, skills or problem solving capability.
 
Back
Top Bottom