johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Mwenyekiti wa TCD Prof Lipumba amesema kutokana na muda kuwa mchache Kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi mkuu Wamekubaliana na Serikali waweke Mazingira ya kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi
Lipumba amesema Umuhimu wa Katiba mpya uko pale pale ila wanakimbizana na muda
Lipumba alikuwa akihutubia siku ya Demokrasia Duniani
Jumaa kareem 😂😂😂
Lipumba amesema Umuhimu wa Katiba mpya uko pale pale ila wanakimbizana na muda
Lipumba alikuwa akihutubia siku ya Demokrasia Duniani
Jumaa kareem 😂😂😂