Kama MBOWE sio MESSI basi ni RONALDO

kalichumbage

Senior Member
Jul 5, 2015
101
41
CHACHA WANGWE ALIKUFA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA

ZITO AKANUNULIWA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA

LIPUMBA AKASEPA UKAWA IKASIMAMA

AKASAJILI MESI

AMESAJIRI MARADONA



DAH!...hebu taja tukio moja na born town MBOWE ambalo limekufurahisha!!!
 
Mbowe yupo vzur cn n nwananapinduz wa ukwel kaifikisha chadema apa ilipo anatisha sana huyu jamaaa yale makengeza yamejaa ujanja ujanja
 
Mbowe anajitambua na Mwenyezi Mungu kampa ujasiri na hali ya kutokata tamaa.
 
Mbowe yupo vzur cn n nwananapinduz wa ukwel kaifikisha chadema apa ilipo anatisha sana huyu jamaaa yale makengeza yamejaa ujanja ujanja

Wacha kumu attack,mkuu wewe mbona dental formula yako ni kama una undugu na ngiri bado watu tunakuheshimu?inakuwaje umshambulie mwenzako kwa maumbile yake?
 
CHACHA WANGWE ALIKUFA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA

ZITO AKANUNULIWA CHAMA KIKAENDELEA KUWA IMARA

LIPUMBA AKASEPA UKAWA IKASIMAMA

AKASAJILI MESI

AMESAJIRI MARADONA



DAH!...hebu taja tukio moja na born town MBOWE ambalo limekufurahisha!!!

Hahahahaaaaa. Wee jamaa wewe!!
 
Wacha kumu attack,mkuu wewe mbona dental formula yako ni kama una undugu na ngiri bado watu tunakuheshimu?inakuwaje umshambulie mwenzako kwa maumbile yake?

Hizi dharau za wanaCCM kwa watanzania zitawaponza sana,october sio mbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom