inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,983
- 18,271
Kanisani huwa hakuna ibada Bali shughuli/event...ibada gani kula humohumo,kuomba na kucheza,Nina uzoefu na Roma,nimeingia Sana ibadaniMimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!