Kama kweli Mungu hayupo, who organized haya mambo duniani?

kwisha

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
1,666
4,365
Kama kweli Mungu hayupo ni Nani aliye organized haya mambo duniani na mbinguni

Mfano kuna wakati wa jua na wakati wa mvua. Kuna wakati wa Giza na wakati wa mwezi. Kuna wakati wa baridi na wakati wa joto.

Tutoke uko twenda kwa mwanadamu
Angalia jinsi organ’s zake zinavyo jipangilia mwilini. Kama waya za umeme hivi.

Kwa wanyama, kuna wanyama wa angani na wanyama wa mwituni. Kuna nchi kavu na bahari.

Maswali ni mengi. I want to know who organized haya mambo duniani.

Kama sio Mungu kweli au kama hakuna mtu ambaye ali organized haya je, ilikuwaje mambo haya yakakaa kama vile yamepangiliwa?
 
Kuna jinga linajiita kiranga,linapenda hizi mada,limeasi kuamini juu ya Mungu muumba wa kila kitu,badala lijibu universe na lenyewe lilivyo systematic kuanzia kula Hadi kunya nani kaplani,litakwambia prove Mungu yupo,huo wimbo 'thibitisha Mungu yupo' linauimba kwenye kila mada Kama zezeta
 
Kuna jinga linajiita kiranga,linapenda hizi mada,limeasi kuamini juu ya Mungu muumba wa kila kitu,badala lijibu universe na lenyewe lilivyo systematic kuanzia kula Hadi kunya nani kaplani,litakwambia prove Mungu yupo,huo wimbo 'thibitisha Mungu yupo' linauimba kwenye kila mada Kama zezeta

Mpangilio wa haya mambo tu uthibitisho tosha kuwa kuna mtu ambaye aliyapangalia
 
Kuna jinga linajiita kiranga,linapenda hizi mada,limeasi kuamini juu ya Mungu muumba wa kila kitu,badala lijibu universe na lenyewe lilivyo systematic kuanzia kula Hadi kunya nani kaplani,litakwambia prove Mungu yupo,huo wimbo 'thibitisha Mungu yupo' linauimba kwenye kila mada Kama zezeta
Mungu yupi?? Mkiambiwa mlete ushahid mnashindwa mnabaki kutoa vitisho ambavyo haya huyo Mungu wenu hajawai watisha wasiomuabudu.

Dunia ina Miungu wengi sana kila jamii na Miungu yao, kwa bahati mbaya Afrika ndiyo ilipata laana ya kupata hizi dini mbili haramu za uislam na ukristo zilizoaminisha watu kuwa hizi dini miungu yao ndiyo sahihi na miungu ya imani nyingine ni uongo.

Mnasema kuna Mungu njoo na ushahidi wa uwepo wa Mungu wako kwa imani yako pia uje na proof kuwa Mungu wako ndie kaumba dunia.

Mimi si kwamba siamin ktk mambo ya kiroho bali napinga hiyo Miungu ya dini za wakoloni walizowaaminisha ndio Miungu sahihi na waumbaji.

Dini ya ukristo haina muda mrefu tangu itungwe, ina karibu miaka 1700 tangu kuundwa kwake kutoka ktk imani za warumi ambao waliCopy dini ya kiyahudi ambayo nayo ilicopy stori za uongo kutoka misri ya watu weusi, warumi hao wakaweka stori zao walizoona zinawafaa mfano Imani ya Miungu watatu yaan Mungu baba, mwana na roho, pia story za uzushi za yesu kristo ambaye hajawai kuwepo, pia story za jehanamu na mbingu za mchongo,

Story hizi zilitungwa na wahuni wa kirumi miaka ya 320 A.D huko kwao na ndio kipindi walicholeta huu utaratibu wa kalenda ya kuyatambua matukio kabla na baada ya huyo Yesu ambaye hajawai kuwepo, utaratibu ujulikanao kama A.D na B.C ama agano jipya na agano la kale haya walitunga kwa manufaa yao.

Baada ya kuunda ukatoric ndipo likaibuka , vuguvugu la mgawanyiko wa hili kanisa ama dini yakaibuka madhehebu pinzan ambayo yote kwa pamoja wanajulikana kama wafuasi wa kristo ama wakristo ama wanaYesu ama waliouhasi ukatoric lkn bado wako chini ya katoric(ukristo), na baadae hawa hawa wakatoric wakaunda uo uislam ambao ndio huu.

Kiufupi lengo la kuandika haya yote ni kuwaonesha kuwa hao mnaowaita Miungu mmetoa stori za hadithi kutoka ktk dini ambazo zimeundwa juzi tu ilihali dunia ina maelfu ya miaka, je miaka 500, 000 iliyopita hao mnaowaita Miungu wenu walikuwa wapi? Mbona vitabu vya dini zenu havielezi matukio yalokuwepo miaka maelfu iliyopita zaid zaid mnaelezwa vijitukio vya wakina falao wa Uongo hapo misri ambavyo hivi vitukio vimetokea juzi tu miaka ya 5000 before the fake Christ namely jesus(B.C kwa kalenda ya kipuuzi ya wakolon wa Vatican).

Kwanini vitabu vyenu havielezi nini kilitokea miaka 20, 000 iliyopita? Kwann vitabu vyenu na Miungu wenu mmebase ktk historia moja ya jamii za waarabu na hao waisrael feki ilhali dunia ina jamii nyingi dunian na ina maelfu ya matukio nje ya uongo wa hao manabii wenu wa mchongo?

Wanaopinga uwepo wa Mungu siwashangai maana kiuhalisia dunia haijaumbwa na Mungu kuna chanzo kilichoiumba lakini sio Mungu maana Mungu/Miungu ni nadharia za watu na wazungu kwa waarabu walitunga ili kutawala jamii za wajinga, unaposema Dunia imeumbwa na Mungu dhihirisha kuwa Yesu sijui Allah ama jehova ndie kaumba dunia mwaka fulan kipind fulan kwa ushahidi unaomake sense, na onesha shahidi hizo nje ya kitabu chako cha imani maana kiutaratibu jambo lolote huwa na ushahidi ambao unasapoti jambo hilo kiimani na nje ya imani pia huwa na shahidi za uwepo wake wa mabaki, muda wa uwepo wake dunian, matukio yanayosapoti uwepo wake nakadharika.

Nje ya Qur'an na Biblia hakuna jambo lolote ama tukio lolote lililotokea ktk hivi vitabu unaweza kulikuta ktk vitabu vya kihistoria na kisayansi kwanini? Kwa sababu hivyo vitabu vimedanganya na vimetungwa.

Niishie hapa.
 
Mungu yupi?? Mkiambiwa mlete ushahid mnashindwa mnabaki kutoa vitisho ambavyo haya huyo Mungu wenu hajawai watisha wasiomuabudu.

Dunia ina Miungu wengi sana kila jamii na Miungu yao, kwa bahati mbaya Afrika ndiyo ilipata laana ya kupata hizi dini mbili haramu za uislam na ukristo zilizoaminisha watu kuwa hizi dini miungu yao ndiyo sahihi na miungu ya imani nyingine ni uongo.

Mnasema kuna Mungu njoo na ushahidi wa uwepo wa Mungu wako kwa imani yako pia uje na proof kuwa Mungu wako ndie kaumba dunia.

Mimi si kwamba siamin ktk mambo ya kiroho bali napinga hiyo Miungu ya dini za wakoloni walizowaaminisha ndio Miungu sahihi na waumbaji.

Dini ya ukristo haina muda mrefu tangu itungwe, ina karibu miaka 1700 tangu kuundwa kwake kutoka ktk imani za warumi ambao waliCopy dini ya kiyahudi ambayo nayo ilicopy stori za uongo kutoka misri ya watu weusi, warumi hao wakaweka stori zao walizoona zinawafaa mfano Imani ya Miungu watatu yaan Mungu baba, mwana na roho, pia story za uzushi za yesu kristo ambaye hajawai kuwepo, pia story za jehanamu na mbingu za mchongo,

Story hizi zilitungwa na wahuni wa kirumi miaka ya 320 A.D huko kwao na ndio kipindi walicholeta huu utaratibu wa kalenda ya kuyatambua matukio kabla na baada ya huyo Yesu ambaye hajawai kuwepo, utaratibu ujulikanao kama A.D na B.C ama agano jipya na agano la kale haya walitunga kwa manufaa yao.

Baada ya kuunda ukatoric ndipo likaibuka , vuguvugu la mgawanyiko wa hili kanisa ama dini yakaibuka madhehebu pinzan ambayo yote kwa pamoja wanajulikana kama wafuasi wa kristo ama wakristo ama wanaYesu ama waliouhasi ukatoric lkn bado wako chini ya katoric(ukristo), na baadae hawa hawa wakatoric wakaunda uo uislam ambao ndio huu.

Kiufupi lengo la kuandika haya yote ni kuwaonesha kuwa hao mnaowaita Miungu mmetoa stori za hadithi kutoka ktk dini ambazo zimeundwa juzi tu ilihali dunia ina maelfu ya miaka, je miaka 500, 000 iliyopita hao mnaowaita Miungu wenu walikuwa wapi? Mbona vitabu vya dini zenu havielezi matukio yalokuwepo miaka maelfu iliyopita zaid zaid mnaelezwa vijitukio vya wakina falao wa Uongo hapo misri ambavyo hivi vitukio vimetokea juzi tu miaka ya 5000 before the fake Christ namely jesus(B.C kwa kalenda ya kipuuzi ya wakolon wa Vatican).

Kwanini vitabu vyenu havielezi nini kilitokea miaka 20, 000 iliyopita? Kwann vitabu vyenu na Miungu wenu mmebase ktk historia moja ya jamii za waarabu na hao waisrael feki ilhali dunia ina jamii nyingi dunian na ina maelfu ya matukio nje ya uongo wa hao manabii wenu wa mchongo?

Wanaopinga uwepo wa Mungu siwashangai maana kiuhalisia dunia haijaumbwa na Mungu kuna chanzo kilichoiumba lakini sio Mungu maana Mungu/Miungu ni nadharia za watu na wazungu kwa waarabu walitunga ili kutawala jamii za wajinga, unaposema Dunia imeumbwa na Mungu dhihirisha kuwa Yesu sijui Allah ama jehova ndie kaumba dunia mwaka fulan kipind fulan kwa ushahidi unaomake sense, na onesha shahidi hizo nje ya kitabu chako cha imani maana kiutaratibu jambo lolote huwa na ushahidi ambao unasapoti jambo hilo kiimani na nje ya imani pia huwa na shahidi za uwepo wake wa mabaki, muda wa uwepo wake dunian, matukio yanayosapoti uwepo wake nakadharika.

Nje ya Qur'an na Biblia hakuna jambo lolote ama tukio lolote lililotokea ktk hivi vitabu unaweza kulikuta ktk vitabu vya kihistoria na kisayansi kwanini? Kwa sababu hivyo vitabu vimedanganya na vimetungwa.

Niishie hapa.

Mungu yupo kutokana na maelezo yangu
Ila kila watu na uelewa wao kuhusu uyo Mungu

Kuna ambao wana amini Mungu wao wa kweli ndo aliumba mbingu na nchi na vyoto viliomo
Na roho yake inapatikana katika kitu fulani
Apo ndipo pana utata
Kuna ambao wana amini Mungu wa kweli anapitkana katika sanamu
Wengine maji
Wengine roho
Wengine samaki kila watu na uelewa wao kuhusu uyu Mungu
 
Si uthibitisho kuwa Mungu yupo ni kuangalia jinsi ulimwengu ulivyo organized
Cha kujiuliza ni Nani aliye pangilia haya mambo duniani? Jibu ambalo utakalo lipata akilini mwako ndo Mungu huyo
Kuwa organized haimaanishi dunia imeundwa na Mungu, weka ushahidi kuwa Mungu kaumba dunia, usitumie Bible wala Qur'an maana hata ningekuwa mimi nmezaliwa kabla ya karne hii ningeweza kutunga kitabu changu cha kiimani na kusema ama kuandika kwa msisitizo kuwa mimi ndie Mungu niliumba dunia, na watu wa kipindi changu wangebisha maana wanajua kuwa nmetunga, bahati mbaya ninyi msio wa kipindi changu mngekubali maana hamjawai kuniona na mmeamin maandiko yangu na hamtaki kuyathibitisha maandiko yangu ijapokuwa kuna maandiko yalokuwepo kabla yangu.

Sasa prove kuwa dunia imeumbwa na Mungu na umtaje Mungu gani, ole wako umtaje Yesu maana Yesu hakuwepo miaka laki 5 iliyopita huyu kaundwa na wakatoric miaka 1700 iliyopita kwa kucopy nadharia za Mungu mwana wa jamii za mashetan kutoka kwa imani za wamisri/wakemet ama waafrika wa kale, pia usiseme Allah kaumba maana huyu nae katungwa miaka 1400 iliyopita kwa kucopy stor za Mungu mke ama Mungu mwezi kutoka ktk stori za mashetani waloabudu mababu wa zaman.

Prove mungu fulan kwa jina fulan mwaka fulan aliumba kitu fulan na sio vitisto na uongo uongo wenu...

Dawa yenu tukiwaomba ushahidi mnakimbilia matusi, vitisho na hasira,
 
Mungu yupo kutokana na maelezo yangu
Ila kila watu na uelewa wao kuhusu uyo Mungu

Kuna ambao wana amini Mungu wao wa kweli ndo aliumba mbingu na nchi na vyoto viliomo
Na roho yake inapatikana katika kitu fulani
Apo ndipo pana utata
Kuna ambao wana amini Mungu wa kweli anapitkana katika sanamu
Wengine maji
Wengine roho
Wengine samaki kila watu na uelewa wao kuhusu uyu Mungu
Huwezi sema Mungu yupo na humjui je kama ni hisia zako? Dunia kwel imeumbwa je swal nan kaumba?? Maana ukisema Mungu kaumba dunia ujue kuwa nadharia za UMUNGU za kuabudu zimekuja juzi tu na dunia ina maelfu ya miaka je kwann hawa Miungu hawajawai kuwepo kipind cha miaka ile maelfu iliyopita? Ushahid unao hata babu zako hawakujua kuwa kuna kitu kinaitwa Allah wala Jehova wao waliamin kuna mizimu, na kuna viumbe wa kiroho lkn hawakutambua hiyo Miungu je ninyi mmepata wapi ujasiri wa kusema dunia imeumbwa ba Mungu ilihali Mungu huyu hakuwai kuwepo afrika kabla ya ujio wa dini? Pia imani za babu zenu hazimtambui?
 
Kuwa organized haimaanishi dunia imeundwa na Mungu, weka ushahidi kuwa Mungu kaumba dunia, usitumie Bible wala Qur'an maana hata ningekuwa mimi nmezaliwa kabla ya karne hii ningeweza kutunga kitabu changu cha kiimani na kusema ama kuandika kwa msisitizo kuwa mimi ndie Mungu niliumba dunia, na watu wa kipindi changu wangebisha maana wanajua kuwa nmetunga, bahati mbaya ninyi msio wa kipindi changu mngekubali maana hamjawai kuniona na mmeamin maandiko yangu na hamtaki kuyathibitisha maandiko yangu ijapokuwa kuna maandiko yalokuwepo kabla yangu.

Sasa prove kuwa dunia imeumbwa na Mungu na umtaje Mungu gani, ole wako umtaje Yesu maana Yesu hakuwepo miaka laki 5 iliyopita huyu kaundwa na wakatoric miaka 1700 iliyopita kwa kucopy nadharia za Mungu mwana wa jamii za mashetan kutoka kwa imani za wamisri/wakemet ama waafrika wa kale, pia usiseme Allah kaumba maana huyu nae katungwa miaka 1400 iliyopita kwa kucopy stor za Mungu mke ama Mungu mwezi kutoka ktk stori za mashetani waloabudu mababu wa zaman.

Prove mungu fulan kwa jina fulan mwaka fulan aliumba kitu fulan na sio vitisto na uongo uongo wenu...

Dawa yenu tukiwaomba ushahidi mnakimbilia matusi, vitisho na hasira,

Naomba kwanza ujibu ilikuwaje haya mambo kujipangilia bila kupangwa na mtu yeyote ?

Alafu ndo nitakupa jibu kuwa ni Mungu yupi ambaye aliumba mbingu na nchi kulingana na akili yangu
 
Kuwa organized haimaanishi dunia imeundwa na Mungu, weka ushahidi kuwa Mungu kaumba dunia, usitumie Bible wala Qur'an maana hata ningekuwa mimi nmezaliwa kabla ya karne hii ningeweza kutunga kitabu changu cha kiimani na kusema ama kuandika kwa msisitizo kuwa mimi ndie Mungu niliumba dunia, na watu wa kipindi changu wangebisha maana wanajua kuwa nmetunga, bahati mbaya ninyi msio wa kipindi changu mngekubali maana hamjawai kuniona na mmeamin maandiko yangu na hamtaki kuyathibitisha maandiko yangu ijapokuwa kuna maandiko yalokuwepo kabla yangu.

Sasa prove kuwa dunia imeumbwa na Mungu na umtaje Mungu gani, ole wako umtaje Yesu maana Yesu hakuwepo miaka laki 5 iliyopita huyu kaundwa na wakatoric miaka 1700 iliyopita kwa kucopy nadharia za Mungu mwana wa jamii za mashetan kutoka kwa imani za wamisri/wakemet ama waafrika wa kale, pia usiseme Allah kaumba maana huyu nae katungwa miaka 1400 iliyopita kwa kucopy stor za Mungu mke ama Mungu mwezi kutoka ktk stori za mashetani waloabudu mababu wa zaman.

Prove mungu fulan kwa jina fulan mwaka fulan aliumba kitu fulan na sio vitisto na uongo uongo wenu...

Dawa yenu tukiwaomba ushahidi mnakimbilia matusi, vitisho na hasira,
Ok, tusiseme Mungu basi. Yule aliyeumba dunia na vilivyomo yupo na ni Fulani.
 
Naomba unipe jibu je haya mambo yalijipangaje bila kupangwa na moi yeyote ? Jibu swali ndo tuongee mengine
Sasa swala la mvua si ukajisomee how rain forms.

Swala na viungo vya mwili mbona simple go and read evolution of species. Utaelewa why ipo hivyo.

Je nikupe fact nyingine kuwa. Huyo Mungu unayemuamini hakuwahi kuumba mbwa, au cabbage au ndizi. Zote hizo ni binadamu alizitengeneza
 
Mungu yupi?? Mkiambiwa mlete ushahid mnashindwa mnabaki kutoa vitisho ambavyo haya huyo Mungu wenu hajawai watisha wasiomuabudu.

Dunia ina Miungu wengi sana kila jamii na Miungu yao, kwa bahati mbaya Afrika ndiyo ilipata laana ya kupata hizi dini mbili haramu za uislam na ukristo zilizoaminisha watu kuwa hizi dini miungu yao ndiyo sahihi na miungu ya imani nyingine ni uongo.

Mnasema kuna Mungu njoo na ushahidi wa uwepo wa Mungu wako kwa imani yako pia uje na proof kuwa Mungu wako ndie kaumba dunia.

Mimi si kwamba siamin ktk mambo ya kiroho bali napinga hiyo Miungu ya dini za wakoloni walizowaaminisha ndio Miungu sahihi na waumbaji.

Dini ya ukristo haina muda mrefu tangu itungwe, ina karibu miaka 1700 tangu kuundwa kwake kutoka ktk imani za warumi ambao waliCopy dini ya kiyahudi ambayo nayo ilicopy stori za uongo kutoka misri ya watu weusi, warumi hao wakaweka stori zao walizoona zinawafaa mfano Imani ya Miungu watatu yaan Mungu baba, mwana na roho, pia story za uzushi za yesu kristo ambaye hajawai kuwepo, pia story za jehanamu na mbingu za mchongo,

Story hizi zilitungwa na wahuni wa kirumi miaka ya 320 A.D huko kwao na ndio kipindi walicholeta huu utaratibu wa kalenda ya kuyatambua matukio kabla na baada ya huyo Yesu ambaye hajawai kuwepo, utaratibu ujulikanao kama A.D na B.C ama agano jipya na agano la kale haya walitunga kwa manufaa yao.

Baada ya kuunda ukatoric ndipo likaibuka , vuguvugu la mgawanyiko wa hili kanisa ama dini yakaibuka madhehebu pinzan ambayo yote kwa pamoja wanajulikana kama wafuasi wa kristo ama wakristo ama wanaYesu ama waliouhasi ukatoric lkn bado wako chini ya katoric(ukristo), na baadae hawa hawa wakatoric wakaunda uo uislam ambao ndio huu.

Kiufupi lengo la kuandika haya yote ni kuwaonesha kuwa hao mnaowaita Miungu mmetoa stori za hadithi kutoka ktk dini ambazo zimeundwa juzi tu ilihali dunia ina maelfu ya miaka, je miaka 500, 000 iliyopita hao mnaowaita Miungu wenu walikuwa wapi? Mbona vitabu vya dini zenu havielezi matukio yalokuwepo miaka maelfu iliyopita zaid zaid mnaelezwa vijitukio vya wakina falao wa Uongo hapo misri ambavyo hivi vitukio vimetokea juzi tu miaka ya 5000 before the fake Christ namely jesus(B.C kwa kalenda ya kipuuzi ya wakolon wa Vatican).

Kwanini vitabu vyenu havielezi nini kilitokea miaka 20, 000 iliyopita? Kwann vitabu vyenu na Miungu wenu mmebase ktk historia moja ya jamii za waarabu na hao waisrael feki ilhali dunia ina jamii nyingi dunian na ina maelfu ya matukio nje ya uongo wa hao manabii wenu wa mchongo?

Wanaopinga uwepo wa Mungu siwashangai maana kiuhalisia dunia haijaumbwa na Mungu kuna chanzo kilichoiumba lakini sio Mungu maana Mungu/Miungu ni nadharia za watu na wazungu kwa waarabu walitunga ili kutawala jamii za wajinga, unaposema Dunia imeumbwa na Mungu dhihirisha kuwa Yesu sijui Allah ama jehova ndie kaumba dunia mwaka fulan kipind fulan kwa ushahidi unaomake sense, na onesha shahidi hizo nje ya kitabu chako cha imani maana kiutaratibu jambo lolote huwa na ushahidi ambao unasapoti jambo hilo kiimani na nje ya imani pia huwa na shahidi za uwepo wake wa mabaki, muda wa uwepo wake dunian, matukio yanayosapoti uwepo wake nakadharika.

Nje ya Qur'an na Biblia hakuna jambo lolote ama tukio lolote lililotokea ktk hivi vitabu unaweza kulikuta ktk vitabu vya kihistoria na kisayansi kwanini? Kwa sababu hivyo vitabu vimedanganya na vimetungwa.

Niishie hapa.
Wewe ni mwongo mkuu. Kwahichi ulicho kiandika hapa ukisoma biblia lazima utasinzia. Jaribu saivi.
 
Sasa swala la mvua si ukajisomee how rain forms.

Swala na viungo vya mwili mbona simple go and read evolution of species. Utaelewa why ipo hivyo.

Je nikupe fact nyingine kuwa. Huyo Mungu unayemuamini hakuwahi kuumba mbwa, au cabbage au ndizi. Zote hizo ni binadamu alizitengeneza

Yaani mtu Anakataa kuamini Mungu yupo Alafu ana amini upumbavu huu

Kwa hiyo hapo ulipo wewe umewahi kuona binadamu akiumba mbwa original
 
Back
Top Bottom