kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kama kweli Mungu hayupo ni Nani aliye organized haya mambo duniani na mbinguni
Mfano kuna wakati wa jua na wakati wa mvua. Kuna wakati wa Giza na wakati wa mwezi. Kuna wakati wa baridi na wakati wa joto.
Tutoke uko twenda kwa mwanadamu
Angalia jinsi organ’s zake zinavyo jipangilia mwilini. Kama waya za umeme hivi.
Kwa wanyama, kuna wanyama wa angani na wanyama wa mwituni. Kuna nchi kavu na bahari.
Maswali ni mengi. I want to know who organized haya mambo duniani.
Kama sio Mungu kweli au kama hakuna mtu ambaye ali organized haya je, ilikuwaje mambo haya yakakaa kama vile yamepangiliwa?
Mfano kuna wakati wa jua na wakati wa mvua. Kuna wakati wa Giza na wakati wa mwezi. Kuna wakati wa baridi na wakati wa joto.
Tutoke uko twenda kwa mwanadamu
Angalia jinsi organ’s zake zinavyo jipangilia mwilini. Kama waya za umeme hivi.
Kwa wanyama, kuna wanyama wa angani na wanyama wa mwituni. Kuna nchi kavu na bahari.
Maswali ni mengi. I want to know who organized haya mambo duniani.
Kama sio Mungu kweli au kama hakuna mtu ambaye ali organized haya je, ilikuwaje mambo haya yakakaa kama vile yamepangiliwa?