Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Hata miradi ikiisha itakuwa sio ya Magufuli.. itakuwa ya mama, maana yeye ndo ameimalizia. Tatizo umejaa chuki ya udini. Hapo ndo upumbafu wako unapodhihirikaSubiri kidogo, miradi yote tunayoiona itasimama, ndipo utajua tofauti kati ukweli na uongo. Kati ya Rais na mwimba taarabu.
Awamu zote za marais waislam nchi hii huyumba sana. Subiri tu ujionee.