BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,059
- 10,514
Unapata kile unachotoa haiwezekani usambaze chuki utegemee return ya upendo.
Kuna baadhi ya mabosi wanatreat wafanyakazi wao kama takataka kazi kubwa isiyolingana na mshahara, mazingira hatarishi bosi anachofocus nacho ni kazi yake nothing else.
Unakutana na mfanyakazi anajituma kwa kufanya kazi kwa bidii akiwa na imani bosi anamuona na atamfikiria kwenye kuboresha maslahi yake huo ni uboya wa daraja la kwanza ukweli ni kuwa watakupongeza kwa mdomo na kuwa mfano kwa wafanyakazi wenzako kila mnapokutana kwenye vikao huku wale ambao wanaonekana wavivu na walalamishi wakipata mashavu wewe ukiendelea kusema dunia haiko fair.
Dawa ya bosi ambaye hayapi kipaumbele maslahi yako ni moja tu ni kumsababishia loss ile hela ambayo anaona shida kukupa wewe basi na yeye asiifaidi kiufupi haikose anamwaga mboga basi na wewe mwaga dona kwani hamjifunzi kwa waalimu wa serikali maslahi madogo wameamua kuzalisha zero kwa wingi ili tuwe taifa la mbumbu ambao hawawezi kuajiriwa ama kujiajiri namba ya vijana tegemezi inaongezeka ambayo inaenda kuwa loss kwa Taifa.
Naumia sana sana kuona vijana wenzangu wanapata ulemavu wa kudumu au vifo kutokana na kazi wanazofanya kwenye magodauni ama viwanda yaani una risk maisha kwa maslahi kiduchu.
Usimpake rangi punda ili awe pundamilia.
Kuna baadhi ya mabosi wanatreat wafanyakazi wao kama takataka kazi kubwa isiyolingana na mshahara, mazingira hatarishi bosi anachofocus nacho ni kazi yake nothing else.
Unakutana na mfanyakazi anajituma kwa kufanya kazi kwa bidii akiwa na imani bosi anamuona na atamfikiria kwenye kuboresha maslahi yake huo ni uboya wa daraja la kwanza ukweli ni kuwa watakupongeza kwa mdomo na kuwa mfano kwa wafanyakazi wenzako kila mnapokutana kwenye vikao huku wale ambao wanaonekana wavivu na walalamishi wakipata mashavu wewe ukiendelea kusema dunia haiko fair.
Dawa ya bosi ambaye hayapi kipaumbele maslahi yako ni moja tu ni kumsababishia loss ile hela ambayo anaona shida kukupa wewe basi na yeye asiifaidi kiufupi haikose anamwaga mboga basi na wewe mwaga dona kwani hamjifunzi kwa waalimu wa serikali maslahi madogo wameamua kuzalisha zero kwa wingi ili tuwe taifa la mbumbu ambao hawawezi kuajiriwa ama kujiajiri namba ya vijana tegemezi inaongezeka ambayo inaenda kuwa loss kwa Taifa.
Naumia sana sana kuona vijana wenzangu wanapata ulemavu wa kudumu au vifo kutokana na kazi wanazofanya kwenye magodauni ama viwanda yaani una risk maisha kwa maslahi kiduchu.
Usimpake rangi punda ili awe pundamilia.